Nnahitaji Pikipiki ya Kununua

Nnahitaji Pikipiki ya Kununua

Mjasiriamali M

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
142
Reaction score
69
Kama ikiwa Bajaj Boxers au Tvs siyo mbaya. Kama vipi hata wa akina Fekon na T better waje tu. Ofa yangu ni tsh Laki 5-6. kama unayo ni pm tupange jinsi ya kuuona mzigo. natanguliza shukrani au nitumie sms kupitia 0719 447 204.
 
Bajaj Boxer kwa laki 5 mpaka 6?? Hakuna atakae kuuzia kwa bei hiyo labda Fekon na T-Better iliyofanywa bodaboda na kuchoka....

Ndio ukweli ulivyo...
 
Bajaj Boxer kwa laki 5 mpaka 6?? Hakuna atakae kuuzia kwa bei hiyo labda Fekon na T-Better iliyofanywa bodaboda na kuchoka....

Ndio ukweli ulivyo...
wewe unayo hata pikipiki moja? haujui biashara ndo maana, kazi kukurupuka na kujibu jibu mambo tu hovyo. kwa taarifa yako zipo boxers bm 100 na ct 100, watu washantafuta na tunafanya biashara kesho, acha kihere here cha kujifanya unajua kujibu ili upate kichwa, kama hauna la kuchangia we kausha tu.
 
wewe unayo hata pikipiki moja? haujui biashara ndo maana, kazi kukurupuka na kujibu jibu mambo tu hovyo. kwa taarifa yako zipo boxers bm 100 na ct 100, watu washantafuta na tunafanya biashara kesho, acha kihere here cha kujifanya unajua kujibu ili upate kichwa, kama hauna la kuchangia we kausha tu.

Asante mkuu kwa majibu yako makali.

Nimeanza kuendesha Yamaha YB 100 sijui kama hata unaifahamu na nazifahamu vizuri pikipiki. Nilikueleza katika hali ya kawaida ni vigumu kupata kwa bei hiyo labda kuna exceptional cases mtu ana shida anahitaji pesa kwa haraka inawezekana akakuuzia kwa bei hiyo pia unaweza kupata lakini condition yake ikawa imechoka sana. Bajaj zimekuja hivi karibuni huko nyuma kulikuwa na pikipiki za kijapani tu. Bila ya kunifahamu unaniuliza kama namiliki pikipiki. Maisha yangu yote sijawahi kumiliki gari ila pikipiki nimemiliki na nimeanza kumiliki Yamaha YB 100, Yamaha DT 125, Sanya 125 na sasa Boxer BM 150.

Busara kitu cha bure viumbe wazito hatuchukuliki.......
 
Matangazo madogo au mipasho? Duuuu!!.
 
Wakuu,
Naomba ushauri juu ya pikipikia aina gani ni imara na madhubuti kwa ajili ya boda-boda.
Ahsante
 
Asante mkuu kwa majibu yako makali.

Nimeanza kuendesha Yamaha YB 100 sijui kama hata unaifahamu na nazifahamu vizuri pikipiki. Nilikueleza katika hali ya kawaida ni vigumu kupata kwa bei hiyo labda kuna exceptional cases mtu ana shida anahitaji pesa kwa haraka inawezekana akakuuzia kwa bei hiyo pia unaweza kupata lakini condition yake ikawa imechoka sana. Bajaj zimekuja hivi karibuni huko nyuma kulikuwa na pikipiki za kijapani tu. Bila ya kunifahamu unaniuliza kama namiliki pikipiki. Maisha yangu yote sijawahi kumiliki gari ila pikipiki nimemiliki na nimeanza kumiliki Yamaha YB 100, Yamaha DT 125, Sanya 125 na sasa Boxer BM 150.

Busara kitu cha bure viumbe wazito hatuchukuliki.......

Kwa kweli kwa bajeti yake hiyo hata mimi nimeitilia mashaka labda fremu peke yake au injini peke yake.
 
Asante mkuu kwa majibu yako makali.

Nimeanza kuendesha Yamaha YB 100 sijui kama hata unaifahamu na nazifahamu vizuri pikipiki. Nilikueleza katika hali ya kawaida ni vigumu kupata kwa bei hiyo labda kuna exceptional cases mtu ana shida anahitaji pesa kwa haraka inawezekana akakuuzia kwa bei hiyo pia unaweza kupata lakini condition yake ikawa imechoka sana. Bajaj zimekuja hivi karibuni huko nyuma kulikuwa na pikipiki za kijapani tu. Bila ya kunifahamu unaniuliza kama namiliki pikipiki. Maisha yangu yote sijawahi kumiliki gari ila pikipiki nimemiliki na nimeanza kumiliki Yamaha YB 100, Yamaha DT 125, Sanya 125 na sasa Boxer BM 150.

Busara kitu cha bure viumbe wazito hatuchukuliki.......
Yameisha, nimepata bajaj boxer bm 100. kama busara zipo basi tuzioneshe, kama si kuniambia maneno yale mwanzo nami nisingejibu hivyo. Huku jf watu ni wahodari sana kukosoa, si wanunuzi na wala si wauzaji, ndo maana wenye biashara wa kweli wachache wamenitafuta na nimefanya biashara. Laki sita unaiona ndogo lakini kuna watu wamekwama au hawazihitaji tena hizo pikipiki, na hiyo hela ni fair tu kwao kwani hawahitaji faida ya kifisadi.
 
Kwa kweli kwa bajeti yake hiyo hata mimi nimeitilia mashaka labda fremu peke yake au injini peke yake.
unadhani sh ngap ingetosha? bm 150 dukani ni 2.1m, bm 100 ni 1.7m, zikishatoka dukani tu huku uswazi kwetu bm 150 huuzwa fasta kwa 1.2m, hiyo bm 100 ndo laki 8 kabisaa, sasa ambayo ishatumika ntanunua kwa sh ngap? nimeshapata bm 100, usiwe na mashaka tena.
 
Wakuu,
Naomba ushauri juu ya pikipikia aina gani ni imara na madhubuti kwa ajili ya boda-boda.
Ahsante
kama unao uwezo nunua bajaj boxe bm 150, bei ni 2.1m plus comprehensive insurance, lakini dereva awe makini maana zinaibiwa sana. kama hutaki presha we chukua fekon au hata sanya ni nzuri pia, hizo bei ni around 1.8 m.
 
Kama ikiwa Bajaj Boxers au Tvs siyo mbaya. Kama vipi hata wa akina Fekon na T better waje tu. Ofa yangu ni tsh Laki 5-6. kama unayo ni pm tupange jinsi ya kuuona mzigo. natanguliza shukrani au nitumie sms kupitia 0719 447 204.

Labda ya Wizi utapata!!
 
Mimi mwenyewe nimenunua Boxer toka kwa jamaa wa ofisini Shirika la maji, yeye ilimshinda alimpa kijana akawa haleti heala akapasua Hub ya nyuma, ring zikaisha, Insuarance, hawakukata mwaka huu, Kodi ya Mapato TRA hakuna tairi
nikauziwa 580,000/ tukashushana hadi 550,000/ jamaa akachukua kwa awamu
Kwa hiyo alsaidy usiwasemee watu wana matatizo yao maana jamaa yangu alikuwa na Kesi ya kiofisi na ana Boxer 150 ya Bodaboda kauza amalize matatizo kuliko kumpa mdogo wake anayemalizia matatizo biashara ya kaka yake.
 
Last edited by a moderator:
Mimi mwenyewe nimenunua Boxer toka kwa jamaa wa ofisini Shirika la maji, yeye ilimshinda alimpa kijana akawa haleti heala akapasua Hub ya nyuma, ring zikaisha, Insuarance, hawakukata mwaka huu, Kodi ya Mapato TRA hakuna tairi
nikauziwa 580,000/ tukashushana hadi 550,000/ jamaa akachukua kwa awamu
Kwa hiyo alsaidy usiwasemee watu wana matatizo yao maana jamaa yangu alikuwa na Kesi ya kiofisi na ana Boxer 150 ya Bodaboda kauza amalize matatizo kuliko kumpa mdogo wake anayemalizia matatizo biashara ya kaka yake.
Nimekupata kaka ukwaju, Shukrani kwa maelezo yako, kuna baadhi yetu hatuna tahthimi ya kina ya mzunguko wa hali ya ugumu miongoni mwa watanzania wengi, na shida huwa haziwaepuki watu. na ndo maana nikatulia mpaka mwisho wa siku nimepata hii pikipiki.Kila la kheri kwetu sote.
 
Back
Top Bottom