nna harrier new model ya 2005 naweza kupata mteja!!

nna harrier new model ya 2005 naweza kupata mteja!!

Jaslaws

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
6,016
Reaction score
5,300
Habari wana Jamvi!!nna Gari harrier wanaita matako ya nyani reg namba ni B nna mpango Wa kuiuza inatembea haina tatizo lolote kama kuna mteja ama unaweza kupata mteja njoo pm tuzungumze bei 13 m tu..!!!!
 
photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photo photophoto photo photo photo photo photo photo photo photo
 
Ntaweka picha nikitulia
 
Mkuu sio kama ulivyosema... ni new model boss!!
new model ni hii je yako ipo kama hii
2018-Toyota-Harrier-Review-Price-And-Specs-Exterior.jpg
 
Habari wana Jamvi!!nna Gari harrier wanaita matako ya nyani reg namba ni B nna mpango Wa kuiuza inatembea haina tatizo lolote kama kuna mteja ama unaweza kupata mteja njoo pm tuzungumze bei 13 m tu..!!!!
Imetumika/imetembea km ngapi??
Weka picha basi watu tufanye biashara
 
Habari wana Jamvi!!nna Gari harrier wanaita matako ya nyani reg namba ni B nna mpango Wa kuiuza inatembea haina tatizo lolote kama kuna mteja ama unaweza kupata mteja njoo pm tuzungumze bei 13 m tu..!!!!
new model kwa 13m!!!! wewe
 
Hiyo ni 2005 Mzee!?

sasa gari ya 2005 iwe new model toka lini. ndomaana mdau akakuambia hiyo yako imeishakuwa old model kwasababu tayari kunatoleo jingine. mbona rahisi sana tu kufahamu hilo. unless neno new model wewe tafsiri yake kwa kiswahili haufahamu
 
sasa gari ya 2005 iwe new model toka lini. ndomaana mdau akakuambia hiyo yako imeishakuwa old model kwasababu tayari kunatoleo jingine. mbona rahisi sana tu kufahamu hilo. unless neno new model wewe tafsiri yake kwa kiswahili haufahamu
Umeshinda mkuu
 
mkuu hapa si suala la kushinda, n suala la kueleweshana, kuna tofaut kubwa SANA kani ya New na New Model, yaweza kua n old model but New ndo mana unauza kwa 13M, baada ya hio yako (XU30) kuna generations/models mbili zishatoka na hio latest/new model ni ya 2013(XU60) ni kama 34M hv na ushee.Ni suala la kuweka mambo clear tu usionekane mjanja mjanja hasa kwenye biashara hailet picha nzur
 
Back
Top Bottom