Nmepimishwa HIV/AIDS kwa lazima

Upungufu wa kinga mwilini,..kuna kitu sikielew,kama ni kwel ni uzushi,kwanin mtu huyu anaezushiwa hudhoofika sana,na magonjwa hayamkwepi,na kwanin akipimwa CD4,chembe nyeupe hushuka saaana tofaut na mwenye afya au anaeumwa kawaida,kwanin kansa pia huwaandama hawa,magonjwa ya ngoz ,kuharisha sana,kwanin yawe haya yote,ni kweli kuna uwezekano hiko kirusi kikawa hakuna,lakin sasa ni kipi kinaleta matokeo hayo ya kinga kupungua na magonjwa kumuandama mtu huyu,manake hapa ishu sio kukifaham kirus kama kipo au hakuna,ishu ni hayo matokeo ya hilo tatzo la upunguf wakinga hyo,heb tusaidiane hapa
 
Ngoma hainaga kipindi cha dirisha wala mlango. Kama mtu anao anao-tu, na kama hana hana-tu.
Nashauri serikali iige toka Kenya, HIV testing kit ziwe zinauzwa kama pipi. Ili watu wajenge tabia ya kujipima na kupima wengine.
Kwahiyo unataka kusema mtu akiambukizwa leo akipimwa itaonekana? Na pia anawezakuambukiza mwingine siku hiyo hiyo. Sasa nini maana ya ile dhana ya kurudia kupima miezi mitatu baadae?
 
Mkuu Deception usemayo yana logic nami ninamfahamu mtu ambae mkewe tulimpima akiwa mjamzito na alikuwa +ve ila mumewake alikutwa -ve. Na ni watu wanaoishi pamoja mke na mume na kila siku wanagegedana bila kinga. Hapo mumewe alikuja kurudia kupima tena baada ya miezi mitatu na bado alikutwa -ve ila mke ni +ve.
Ila nina swali la kizushi kwako: Ili ku prove usemayo, upo tayari kufanyiwa laboratory test kwakuwa tested na ukiwa -ve tuku inject HIV+ blood kwenye blood stream yako na tukupime tena baada ya miezi mitatu au sita?
Wee jamaa unaakili sana!!

Tena kwa kuongezea hilo jambo lifanyike Public ikiwezekana uwepo uzi maalum kwa ajili ya sisi tulio mbali ili tuweze kujua kinachoendelea, vyombo vya habari vihusishwe kuripoti hilo tukio mubashara!!!

Bila kusahau baraka za serikali zihusike, isije mwisho wa siku kibao kikakugeukia mkuu..!!
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Haka kaugonjwa kalishajijengea heshima ya pekee, yan pamoja na kupima few months ago na sijakutana na mtu yeyote but bado siion confidence ya kupima tena, hatar sana hehehe kale kakipimo sikaamin pamoja na kuniwekea negative kasije kakanibadilishia gia angani.
 
Mkuu hiyo inakuwa ni hospitali yako au..? Nijuavyo mimi ukichukuliwa damu unaenda nje unasubiria uitwe
Afadhali umemjibu kistaarabu, mie nilitaka kumjibu nikachelea kuharibu swaum yangu, nikatafuta ignore button sikuiona..!!
 
Mkuu hiyo inakuwa ni hospitali yako au..? Nijuavyo mimi ukichukuliwa damu unaenda nje unasubiria uitwe


Inavyooesha hujawahi kupima HIV karibuni wew....!! Haichukui hata dakika Mkuu majibu yashajulikana huko mpaka uitwe vip..!!
 
Inavyooesha hujawahi kupima HIV karibuni wew....!! Haichukui hata dakika Mkuu majibu yashajulikana huko mpaka uitwe vip..!!
Kiukweli nna miaka mingi nlikuwa sijapima. Ni kweli haichukui muda mrefu ila nazungumzia utaratibu wa hospitali nnazoenda mimi....ukiingia maabara unachukuliwa damu unaambiwa subiri nje hivyohivyo na mwingine na mwingine. Damu yako ikishapimwa majibu yanapelekwa kwa Doctor kisha mnaitwa mmojammoja kupewa majibu ya vipimo vyote..na ukumbuke sikupimwa HIV tu nlipimwa na magonjwa mengine maana nlienda hospitali kwa sababu naumwa sikwenda kwaajili ya kupima HII
 
Aphthous Ulcer hiyo ndio maana wamekupima. Inahusiana na HIV/AIDS japo sio lazima
 
sasa haka kaugonjwa sikaelewi elewi, hv na blood groups zikiwa tofauti wataalam wanasema virus wanagoma kuhama.. dah yaani mke anao mume hana, ina maana kakipimo kanafanya kulukulundufutu....
 
japo huwa najipa moyo sina haka kadudu ila kupima ni shughuli nzito

Mara 2 nimepoteza nafasi za kwenda j.k.t kwa hofu ya kukutwa nnao.

aliye leta hii hofu kwangu aliniweza
 
Inaitwa PITC (PROVIDER INITIATED TESTING AND COUNSELLING mtoa Huduma anapoona was was kuhusu AFYA yako au anapoona unahitaji operesheni lazima wajue status yako ni kawaida kabisa siku hizi
 
Ulishawahi kujiuliza swali na kupata jibu lenye mantiki kwamba ni kwanini siku hizi wanalazimisha watu kupima HIV bila ridhaa yao.

Unadhani wanatupenda sana kiasi cha kutaka kutupima kwa lazima?Au unadhani nia yao kubwa ni kupunguza maambukizi ya HIV?Kama kuna watu walikuwa wanafikiri hivi basi wamepotea.

Jibu sahihi ni kwamba wanatafuta wateja wa ARVs,soko la ARVs kitakwimu limeshuka sana kutokana na watu kudharau kupima HIV,pamoja na watu kudharau na kuacha kupima HIV lakini bado afya za watu wengi ziko vizuri sana,unajua kwanini?...ni kwasababu HIV ni feki.

Soko limeshuka sana na ndio maana wanalazimisha goli hata la mkono.Kuogopa HIV ni sawa na kuogopa kivuli chako.Hakuna ugonjwa mpya duniani,try to think about that.Magonjwa ni yaleyale na yote yana tiba.

Moja njia effective ya kukomesha kasumba ya HIV ni watu kujitambua na kukataa kabisa kupima na badala yake wanatakiwa ku focus katika njia bora za maisha kama kula vyakula bora,kufanya mazoezi,kupunguza kiwango cha alcohol au kuacha kabisa,kutotumia dawa za kulevya,kutotumia dawa za hospitali mara kwa mara bila sababu za msingi,kuepuka msongo wa mawazo,usafi wa mwili na mazingira nk....ukiumwa TB tibu TB,Ukiumwa malaria tibu malaria,ukiumwa typhoid tibu typhoid nk....usisingizie HIV eti kwasababu unaumwa TB,malaria au typhoid nk....kila ugonjwa una sababu yake,tibu sababu.HIV hasababishi na hajawahi kusababisha chochote kwakuwa hayupo kiuhalisia,HIV ni changa la macho tu.Wanatumia magonjwa yaliyokuwepo tangu enzi na enzi kama sababu ya kudanganya watu kuhusu uwepo wa HIV wakati magonjwa hayo yana sababu zake binafsi.

Na ndio maana hata ukipimwa HIV+ halafu hutumiii hizo ARVs zao hutakaa uumwe au udhoofike na HIV maisha yako yote,unajua kwanini?ni kwasababu HIV ni feki.Na ndio maana kuna ndoa nyingi sana mke ni HIV+ na mme ni HIV- au kinyume chake na watoto ni HIV- au kinyume chake.Hawa jamaa wanacheza na vipimo vyao walivyoviwekea tricks ili kuwadanganya watu,wengi hawalijui hilo.Wametudanganya kuanzia historia,vipimo,HIV mwenyewe na ARVs kwa ujumla,kama mtu hana uwezo wa kufikiri hawezi kutoka kwenye wongo huu,they are very tricky,wametumia sayansi kubwa sana kudanganya kiasi cha mtu wa kawaida kushindwa kung'amua.Na ndio maana tunafuata mkumbo tu kwa takribani miaka 30 sasa.

Watu kama sisi tunajitahidi kuokoa jamii yetu lakini tunadharaulika,wazungu walioleta uzushi huu ndio wanasujudiwa.Watu wanadhani wazungu ni wajomba zao kiasi cha kuwapenda sana na kukubali kupimwa kwa lazima.Wewe mzungu yuko Marekani huko akupende wewe unayeishi kwenye uchafu huku Afrika?

Mwenye kutaka kujua ukweli atajua tu lakini mwenye kubeza atabeza hata Mungu hana uwezo wa kumwelewesha.

Akili kichwani,kila mtu atumie akili yake kuelewa,asikubali kulazimishwa kufuata mawazo ya mwingine.

Chukua hatua kujiokoa mwenyewe,kuokoa familia yako,ndugu zako na majirani zako.

"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Duuuuh
 
sasa haka kaugonjwa sikaelewi elewi, hv na blood groups zikiwa tofauti wataalam wanasema virus wanagoma kuhama.. dah yaani mke anao mume hana, ina maana kakipimo kanafanya kulukulundufutu....
Kama kuna kitu tuko nyuma kama watanzania ni kuhusu Elim ya afya ya jamii. Vitu vidogo mpaka uulize hospitali au kwa mtaalam. Tunatakiwa tuwe na BP machine nyumbani, thermometer, glucometer, chati za BMI nk kama basic home items
 
Back
Top Bottom