Nmemkumbuka mwalimu wangu wa Primary

Nmemkumbuka mwalimu wangu wa Primary

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
22,477
Reaction score
21,023
155596_160815067411521_262901630_n.jpg

alikua anafundisha kiukweli
 
Halafu inapita miezi sita bila kupata mshahara; hii serikali ya magamba wahuni kweli kweli!!
 
Mimi namkumbuka Mwalimu wangu wa Kiswahili darasa la tano (5) alikuwa anavaa SAFARI BOOTS.....Kipindi cha mchana akiingia darasani after lunch anazilegeza gidamu za Safari boots zake!!!! Harufu iliyokuwa inatoka hadi leo tukutanapo wanafunzi wa darasa letu tuliobakia hai-Safari boots za Mwalimu huwa moja ya MJADALA NA KICHEKESHO kikubwa zaidi kwetu🙂
 
Wasipofaulu hao wanafunzi wake ndio basi tena........!
 
Back
Top Bottom