Nmejifunza hili

Nmejifunza hili

BILGERT

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
6,533
Reaction score
11,027
Habar zenu wadau,,,nmekuwa mdau wa hili jukwaa kwa miez kadhaa.ila nmegundua kuwa co vyema kuweka contact zako humu ndan hasa unapotafuta Girl friend ama mchumba.yaan kuna usumbufu mkubwa saana,,,yaan imenibid nkaedit post zang ili kuziremove contact zang...ni her mtu aku PM kuliko kuweka hapa contact...yaan wapo wanaokutafuta kwa nia njema na wengne ni walaghai. Hakika jamii forums ni Msitu mnene
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom