Riba za mikopo kwa NMB ilikuwa ni 18% lkn sasa ni 20%.
Kwa hali hii mbona maisha yanaenda kuwa magumu tena...
Kukopa napo ni shidaaa, na biashara kupanuka bila mkopo ni shida zaidi
Tatizo thamani ya shilingi haieleweki, hivyo risk ya kukopesha ni kubwa.
Wenye mkopo hawaathiriki.... Ila ni kwa wanao appy kwa sasa
Katika kanuni za uchumi, riba huwa inakuwa determined na mambo mengi kama vile risk, operation costs, na inflation. Hivyo ikiwa country's inflation rate is high then riba za mabank nazo zitakuwa kubwa...so jaribu kuangalia inflation rate yetu ndio utajua implication ya nmb kupandisha ribaRiba za mikopo kwa NMB ilikuwa ni 18% lkn sasa ni 20%.
Kwa hali hii mbona maisha yanaenda kuwa magumu tena...
Kama nmb tulokuwa tunawaamini na 18%.....imefika hapo.... Je hawa wakopeshaj binafs kama Bayport itakuwaje