Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 517
Kiukweli nimechukia Sana ukizingatia nilikua nauhitataji wa fedha, Sasa nimeshuka sehemu nikaamua niangalie salio ili nichukue fedha kwa ajili ya Mambo yangu kwa kutumia NMB mobile.
Cha kushangaza naangalia salio na kutana na NMB APP wakati nilisha zoea kuangalia salio kwa njia ya kawaida Sasa nimeingiza neno la Siri hola mwishowe nimefungiwa nimebaini tumelazimishwa kua na NMB APP bila kupewa taarifa, huu ni unyanyasaji mkubwa kwa wateja kulazimisha kua na app yao.
Nini kimejificha kwenye app hii hadi mtu alazimishe? Napiga simu huduma kwa wateja hawapokei wote wamelala.
Cha kushangaza naangalia salio na kutana na NMB APP wakati nilisha zoea kuangalia salio kwa njia ya kawaida Sasa nimeingiza neno la Siri hola mwishowe nimefungiwa nimebaini tumelazimishwa kua na NMB APP bila kupewa taarifa, huu ni unyanyasaji mkubwa kwa wateja kulazimisha kua na app yao.
Nini kimejificha kwenye app hii hadi mtu alazimishe? Napiga simu huduma kwa wateja hawapokei wote wamelala.

