pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 880
- 618
Hbr za asubuhi wana jf. Kuna siku nilipita mbezi mwisho karibu na stendi ya daladala ya malamba mawili,nikaona jirani pale kuna tawi la benki ya Nmb. Vp wameshaanza kazi.? Wengine tuko porini huku, mjini hadi tuoge Kwanza, maana mkuu wa mkoa kadai tusije mjini hadi tuoge kwanza.