Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Mwaka na ushee umepita tangu kampeni ya kukusanya mitaji kwa ajili ya kuwekeza NMB umepita sasa, lakini kimya! Nakumbuka walikuwa wanadai wamekusanya kuzidi malengo na watawarudishia wengine pesa yao walioitoa kununua hisa za wananchi. Sijasikia kitu zaidi ya kusikia mamilioni ya pesa za NMB ama kuporwa au kupotea. Ule ulikuwa ufisadi kama DECI au? Ukiuliza watu wa NMB hawana maelezo yenye tija. Inaonekana hata wao hawajui.