road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
Kiukweli huu ni ujinga kabisa!! Sina salio la mtandao ila benk nina pesa sasa nikitaka kuingia NMB mobile ina shindikana huu ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa!!
Sasa nmb mobile hii huduma ina maana gani? Yan aliyeleta huu utaratibu ni mpumbavu sana sana!! Kwann hafikiruu kuna watu tupo vijijini hij huduma yaweza kuwa msaada!?
Yaani lazima uwe na salio la mtandao ndio uingie NMB mobile? Sasa kama mtu hana balansi ya salio la mtandao inakuwaje!?? Yan daaa !!!kwann makato yasiwe baada ya kuchukuwa pesa yako? Tafadha tcra ingikieni hili kati
Sasa nmb mobile hii huduma ina maana gani? Yan aliyeleta huu utaratibu ni mpumbavu sana sana!! Kwann hafikiruu kuna watu tupo vijijini hij huduma yaweza kuwa msaada!?
Yaani lazima uwe na salio la mtandao ndio uingie NMB mobile? Sasa kama mtu hana balansi ya salio la mtandao inakuwaje!?? Yan daaa !!!kwann makato yasiwe baada ya kuchukuwa pesa yako? Tafadha tcra ingikieni hili kati