NMB mobile haina msaada kama umekwama

NMB mobile haina msaada kama umekwama

Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.

Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.


Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.

Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote

NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Umenena
 
Kumbuka watumishi ni lazm mshahara upotie bank na nmb ni countrywise pia ukia hata semina za serikali nmb wanaanza pokea pesa kuliko bank yoyote ile!!!yan nmb mnasnza pokea bank nyingine wanasuburi hata week !!! Hivyo kusema nmb ni ya kishamba hujui unachokiongea
Sasa kuwahi kupokea mishahara ndo ujanja
 
Watu kuhamia kwenye banking services maana yake makampuni ya sim yanapoteza mapato,pia bank zinapata wateja kupitia huduma za makampuni ya simu.

Ninachoona hapa ni kwamba makampuni ya simu yanaweza pandisha bie ya kutumia huduma za kifedha/bank kuwa ghali zaidi. Banks inabidi wawe na apps zao ambazo unatumia bundle tu , inakuwaje bank kubwa kama NMB hawana app?
NMB app ipo..labda wewe tu ndo hujui.
 
Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.

Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.


Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.

Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote

NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
hapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shida
 
hapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shida
Mimi simu yangu kila nikijaribu inaomba nitumie laini iliyoungwa na nmb, nilishabadili sana laini mzee, mpaka nilishawafata kuuliza. Walichonijibu, weka bando kwenye laini husika
 
hapana mzee unakosea kiongozi sio namba iliyosajiliwa na simu mkononi ndio iwe na bando hapana narudia hapana narudia hapana , wanataka namba iliyosajiliwa simu mkononi iwe kwenye simu tena laini one bando haijalishi hata ukiunga wifi au laini ya pili ikiwa na bando sawa tu mm natumia tigo nmb mkononi bando natumia airtel sema tigo ipo laini one kwaajili ya kupokea code za nmb app internet hata ukiunga wifii haina shida
Tena nikwambie, unapokuwa umejiunga tayari, hakuna code yoyote inayotumwa labda kama unazungumzia kujisajili na mob app. Kama unaweza kutumia wi-fi why laini ikiwa namba 2 ikatae?
Tumia Simbanking uone maisha yalivyo simple. Hakuna ubaguzi wa namba na app ipo very friendly kwa mtumiaji
 
Kumbuka watumishi ni lazm mshahara upotie bank na nmb ni countrywise pia ukia hata semina za serikali nmb wanaanza pokea pesa kuliko bank yoyote ile!!!yan nmb mnasnza pokea bank nyingine wanasuburi hata week !!! Hivyo kusema nmb ni ya kishamba hujui unachokiongea
Kiongozi wewe ni mtumishi wa sector gani? Aliyesema mishara ya watumishi lazima ipite nmb ni nani?
Hebu nenda magereza, polisi kaulize wanapokelea wapi?
Ulipoona lundiko la walimu nmb ndo unasema lazima ipitie nmb. Hujui hata unachokisema.

Mambo yapo hivi, kitambo cheque za mishahara ya watumishi zilikuwa zikipitia nmb. Nmb wakapewa dhamana ya kuprocess kwa maana ya kutuma hizo cheque kwenye mabenki mengine ambako watumishi wanapokelea mishahara.

Nmb wakaanza ukilitimba wa kuwaaminisha watumishi kuwa wao ndio kila kitu. Wakawa wakipewa cheque wanaprocess mishahara ya wateja wao kwanza, huku wamehold mishahara ya watumishi wengine wanaopokelea mabenki mengine. Hii ikawaaminisha watumishi kuwa lazima mishahara ipite nmb.

Sasa basi, kuanzia mwaka jana, serikali iliamua mishahara yote itoke hazina moja kwa moja kwenda kwenye mabenki husika, Kwa maana ya cheque.

Kama unamtu yeyote anaefanya kazi benki au ni ajira mpya muulize hii kitu.

Hope umeelewa. Na nimeandika maana nafaham vizuri sana hii kitu. Foleni zisikubabaishe
 
Kiukweli huu ni ujinga kabisa!! Sina salio la mtandao ila benk nina pesa sasa nikitaka kuingia NMB mobile ina shindikana huu ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa!!

Sasa nmb mobile hii huduma ina maana gani? Yan aliyeleta huu utaratibu ni mpumbavu sana sana!! Kwann hafikiruu kuna watu tupo vijijini hij huduma yaweza kuwa msaada!?

Yaani lazima uwe na salio la mtandao ndio uingie NMB mobile? Sasa kama mtu hana balansi ya salio la mtandao inakuwaje!?? Yan daaa !!!kwann makato yasiwe baada ya kuchukuwa pesa yako? Tafadha tcra ingikieni hili kati
Ni Msomi wa PhD wa CCM
 
Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.

Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.


Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.

Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote

NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Dah hapa ndio wanapozingua yaani mpaka nitumie line ileile wengine tumeshayachoka baadhi ya makampuni ya simu mfano tigo ni line yao lakini sijawahi iwekea hela kwa sababu ya gharama zao za kipumbavu
 
Nmb
Dah hapa ndio wanapozingua yaani mpaka nitumie line ileile wengine tumeshayachoka baadhi ya makampuni ya simu mfano tigo ni line yao lakini sijawahi iwekea hela kwa sababu ya gharama zao za kipumbavu
Washamba kinoma, ingia crdb ujionee maajabu. Watu wapo vizuri, vijana wengi. Wanazijua product fresh. Nmb wazee wengi, wamechoka kinoma. Mfano nilitaka kupurchase online yani nilizungushwa hiyo siku, mwingine anasema chap chap haiwez mwingine anasema inaweza ikiwezeshwa. Me nikawambia basi iwezesheni.

Wakajaribu weee, mwisho wakasema system inasumbua itabid niibadili hiyo akaunti iwe ya kawaida. Hilo nikalikataa maana ingeanza kuincur makato.

Basi wakanipa option ya kufungua prepaid akaunti tena wanasema ni special kwa manunuzi. Nikakubali. Mchakato ukaanza. Nilipomaliza nikaambiwa niiwekee hela. Nilikuwa nina 90k. Nimeenda kwa cashier akawa haelewi eti, kabla hata hajalogin akasema mtandao wa hiz haupo, eeh bwana ee, niliudhika hiyo siku, nikarudi kwa aliyeifungua akanambia ingia bulk kuna mtu atakusaidia.

Kule nikakuta kuna sister flani nikamuuliza kwann mtandao wa prepaid haupo eti akajifanya kushangaa, akaniuliza nimejuaje. Nikamwambia cashier kasema. Akaichukua kadi yangu na hela akalogin akadeposit ile hela fresh. Akachukua simu akamcall huyo cashier akaanza kumind. Mwisho akamwambia akija mteja wa prepaid mwelekeza aje bulk.

Hii ikanipa picha kabisa kuwa hawa staff ni viazi kwakuwa hawazijui product zao.
 
Sasa kuwahi kupokea mishahara ndo ujanja
Hivi weww uliye benk tofauti na nmb una nn!?? Unautajiri gani !!?? Hizo benk zina unafuuu gani!?? Acha tambo za kishamba huna loloteeee !!!eti nmb benk ya kizeee ya babako ya kijanja ni ipi!??
 
Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.

Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.


Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.

Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote

NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Hata crdb app yao ya sim banking pia inagoma kufunguka ukiwa hauna salio kwa watuamiaji wa tigo,sijajua kwa mitandao mingine
 
Mleta mada issue ipo hivi:
Mabenki huwa yanaingia mikataba na makampuni ya simu. Unapotumia hiyo huduma bure ni kwamba benki inamlipa mwenye kampuni ya simu. Kama hawamlipi maana yake hutaweza kuingia mpaka uwe na salio, hii ni kwa ussd.

Mobile app, yenyewe itahitaji MB tu unaingia fresh.


Sema ujinga wa nmb, wanataka namba iliyosajiliwa na nmb mkononi ndio hiyo iwe na bando kwa wale wanaotumia App. Hii inaudhi kishenzi.

Crdb ukishakuwa na mob app, unatumia data kutoka mtandao wowote

NMB WENGI WAZEE, WASHAMBA KINOMA
Ina maana ukiwa nje ya nchi au ukitumia Wi-fi huwezi kupata huduma kwenye hii app ya nmb mobile?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom