NMB kuweni na hurumah!

NMB kuweni na hurumah!

kihagav

Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
20
Reaction score
7
Nimemaliza mkopo wenu kiroho safi tuh ....... lakini naona bado mnaendelea kufanya yenu!.....tafathali sanah!.....Acheni kuwaibia maskin bhanah!
 
Maskini wenzangu tuwe macho.....hizi taasisi za fedha zinatuibia sana watu wa chini!
 
Ndio maana waindi wanaweka pesa zao nyumbani. Na kwenye benki zao za kihindi
 
Nimemaliza mkopo wenu kiroho safi tuh ....... lakini naona bado mnaendelea kufanya yenu!.....tafathali sanah!.....Acheni kuwaibia maskin bhanah!
Sasa ndugu yangu umeshindwa kwenda tawi lao kuonana na uongozi na kuwapa malalamiko yako??
Nilitegemea kwamba ungeleta uzi hapa kama jitihada hizo zingefeli.
 
Back
Top Bottom