Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,087
- 643
Yes Mama Samia na Ruth Zaipuna ni kama mapacha kwa performance nzuri wanazooneshaAkiwasilisha Taarifa ya Fedha ya Mwaka 2023, Afisa Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna amewashukuru wateja wetu, wanahisa, wafanyakazi, washirika wote wa Benki, Serikali kupitia Benki Kuu na Watanzania wote kwa mchango wenu thabiti na imani mliyonayo kwa Benki ya NMB.
CHANZO CHA YOTE HAYA NI HUYU MAMA ANAITWA RUTH HENRY ZAIPUNA