NMB interview western zone

NMB interview western zone

Ndekirhepva

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2012
Posts
371
Reaction score
44
Wana jamvi, naulizia kama kuna kuna alieitwa kwenye hizi nafasi kwa wale waliioomba, naskia wanapiga sim tena kwa namba ya mobile
 
Nilichogundua n kwamba, jf ya sasa nayo ni yakutumbua tu, majipu mengi sana, members wanaandika tu kutokana na mihemko yao ya siku husika
 
jamani tayari wameita??? duuuh nimeshakosa nafasi maana hadi sasa sijaona cm wala email
 
nilikuta misscal baada ya kutoka chooni na ni;ipopiga nikaambiw unae mpigia zamu yake kwenda uliko kuwa akirudi atakupgia sjui mpigaji ametumbukia chooni sjui?
 
Inategemeana ww unafahamiana na nani nmb vinginevyo utapoteza bure muda wako wakutuma maombi
 
du mi mwenyewe niliirwa kwenye interview ambayo imefanyika leo mbeya ila nikapata emergence
 
Back
Top Bottom