Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,573
- Thread starter
-
- #81
Sasa usijelogwa kuomba mkopo EFC!Utabembelezwa kufungua account kwao na utaonekana ni wa thaman.Gharama za kuomba na kupata mkopo hujulishwi,utaanza kukamuliwa hatua kwa hatua.Mkopo utaambiwa unapatikana wiki 2 lakin miezi 2 tena baada ya kukopa michache.Uongozi wa juu (wazungu) wanategemea taarifa toka kwa viongozi weusi ambao wako ktk mtandao wa rushwa.hivyo hawapewi taarifa sahihi.Zaidi hao wazungu wanatoka na hao weusi(watendaji wa juu pale wote wanawake).
EBU JARIBU KUOMBA MKOPO PALE,
Ukitaka kula lazima uliwe,,,mwenzako wanachukua mikopo bizness zinaenda wanajenga wanadrive we unakuja kulalamika umeombwa laki 2 3 komaa no body care nchi hii ka mkeo alikuwa ana vigezo kwann aende nmb kuomba mkopo???haupo tayari kutoa rushwa nmb ila tra ulikuwa tayari????
Nilienda NMB pale Temeke Sudanese nikamkuta mama mmoja mweusi kibonge na yeye alinizungusha huyo wakati vigezo vyote nilikuwa navyo.Nikaenda zangu access bank na akiba commercial bank nikapata mkopo haraka na bila longo longo yeyote.
Yaani uhonge laki tatu ili upewe milioni moja dah kweli hawa hawana akili.
Nduguwanajamii forums,
Tunashukurukwamaoniyenumliyowekahapajuuyahudumamnazopatakwenyematawiyetunchinikote, NMB inafanyiauchunguzimaoninamalalamikoyenunatunawahakikishiakuwatutachukuahatuastahikidhidiyawafanyakaziwaliotajwanawenginewenyetabiakamahizo.
Nduguwanajukwaa, NMB inajipambanuakwakusimamiamaadilimojawapoikiwaniuaminifukwawafanyakazi wake.
NMB piainapendakuwahakikishiawatejanajamiikwaujumlakwambaitaendeleakusimamia sera zotezabenkiikiwanipamojanakutovumiliawafanyakaziwasiowaadilifu.
kamakutatokeaumepatahudumaisiyoridhisha au ufanyajikaziusiofuatamaadili, uaminifunauadilifu, tafadharitoataarifakupitianjiazifuatazo:
1. Kupitiatovuti: http://[url]www.nmbtz.com[/URL]
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwaposta UnawezakutumabaruakwaAfisaMtendajikamaifuatavyo:
AfisaMtendajiMkuu (Bahashaiandikwe Siri)
MakaoMakuuya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwakupigasimuzifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Nduguwanajamii forums,
Tunashukurukwamaoniyenumliyowekahapajuuyahudumamnazopatakwenyematawiyetunchinikote, NMB inafanyiauchunguzimaoninamalalamikoyenunatunawahakikishiakuwatutachukuahatuastahikidhidiyawafanyakaziwaliotajwanawenginewenyetabiakamahizo.
Nduguwanajukwaa, NMB inajipambanuakwakusimamiamaadilimojawapoikiwaniuaminifukwawafanyakazi wake.
NMB piainapendakuwahakikishiawatejanajamiikwaujumlakwambaitaendeleakusimamia sera zotezabenkiikiwanipamojanakutovumiliawafanyakaziwasiowaadilifu.
kamakutatokeaumepatahudumaisiyoridhisha au ufanyajikaziusiofuatamaadili, uaminifunauadilifu, tafadharitoataarifakupitianjiazifuatazo:
1. Kupitiatovuti: http://[url]www.nmbtz.com[/URL]
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwaposta UnawezakutumabaruakwaAfisaMtendajikamaifuatavyo:
AfisaMtendajiMkuu (Bahashaiandikwe Siri)
MakaoMakuuya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwakupigasimuzifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
ama kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.aliye kupa wewe ndie aliye wanyima.lakini ukumbuke mtaka chongo huita kengezamkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.
mmeumbuliwa sasa naona mnatapatapa mchezo wenu kwishiney. mmeiba mno tena ninyi nisawa na vibaka mshahara unalipwa na benk bado tu pesa ya mtaja nayo uidandie.sijui mna mtindio wa ubongoWe pwapwasa acha kuchafua majina ya watu kidwanzi!hiyo 25000 hukuombwa na ndio mana umeshindwa sema sababu ulizokuwa unapewa hadi ukafikiria unazungushwa sana na kwamba wote ni walewale wanaotaka rushwa.
Pili,mikopo ya biashara na ya watumishi inashughulikiwa na maafisa mikopo tofauti,onesha alice ANAHUSIKAJE kwenye kuombwa rushwa mkeo ambae ni mtumishi na wewe ni mfanyabiashara.
Tatu,wewe ni mnafiki sana!wasema TRA uliwatengea kabisa pesa ya rushwa,sasa hapa umekuja kufanya nini wakati ndio 'michezo' yako?
Usivyo na haya unadiriki kutaja hata jina la mtu eti alikuomba unachokiita rushwa ya 15000 ya mafuta,mwaka mmoja na nusu uliopita!!unajielewa wewe kweli?
Jitazame sana wewe pwapwasa!
You can't be sereous mkuu unless we si mtanzaniamkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.
Naona umeongea kama mmoja wa watu wapumbavu(hilo sio tusi). Hivi wewe unaelewa kweli maana ya National Microfinance bank?hivi do u know why NMB was formed from NBC? For your information ni kwamba kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogowadogo ndio lengo hasa la hiyo bank na wala sio watu wenye mitaj mikubwa kama unavyodhan.mkopo wa milioni moja, mkopo wa laki tano unaenda bank ya NmB, duh, watanzania wana shidaaaaa, hiyo hela si ungekopa hata kwa rafiki yako tu jamani. pengine nmb wameona ni hasara, mikopo midogo hiyo hawawezi kukuthamini kwasababu una faida kidogo sana kwao ndio maana unaona kama wanakuonea. nenda saccos au upatu wa mtaani huko au weka hela kwenye kibubu, laki tano haustahili kwenda kukopa bank. tuache utani jamani. hata milioni moja au mbili unaenda bank? hizo hata waendesha bodaboda wanazo majumbani mwao, kwanini mnapenda kunia madogo kiasi hicho, think big, act big....alaaa.