Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 184
Wakuu ni wiki ya tatu hii tangu nilipoomba mkopo NMB lakini cha ajabu hakuna chochote hadi sasa kila nikienda naambiwa eti kuna matatizo ya mtandao kutokana na makao makuu kufanya marekebisho ya loan system hivyo mikopo yote imesitishwa hadi leo.
Sasa najiuliza je wanavyotufanyia ni haki maana hata malengo ya kukopa naona yanaanza kupotea kutokana na muda kuwa mrefu sana hadi nafikiria hata nihairishe.
Kwa mtindo huu CRDB watawapiga bao na hayo marekebisho yenu yasiyofika mwisho.
Sasa najiuliza je wanavyotufanyia ni haki maana hata malengo ya kukopa naona yanaanza kupotea kutokana na muda kuwa mrefu sana hadi nafikiria hata nihairishe.
Kwa mtindo huu CRDB watawapiga bao na hayo marekebisho yenu yasiyofika mwisho.