Jamani biashara ni mashindano na huduma bora,nimefuatilia ufunguaji wa current akaunti,kwa muda wa miezi miwili sasa ,kila nikienda bado tunashughulikia-jamani kuweni makini biashara ngumu.
Documents zote zipo tatizo ni nini?wadau naomba maoni yenu.
msumbuliwa wa njoo kesho na Nmb Bank- benki ambayo ninaipenda toka moyoni kwangu.
Documents zote zipo tatizo ni nini?wadau naomba maoni yenu.
msumbuliwa wa njoo kesho na Nmb Bank- benki ambayo ninaipenda toka moyoni kwangu.