Ukiwa umeshajiandikisha huwezitumia simu ya mtu mwingine mwenye hiyo app ona goma?
Hii App itasaidia kama huna line uliyo jisajili na nmb mobile au ipo mbali na unashida na nm mobile.
Kama iivyo tigopesa hatakama line ya tigo haipo kwenye simu unapata hudumaa tu.
Changamoto hizi ap zipo ki internet zaidi