JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,513
Mkuu mchambawima1 heshima mbele kamanda..Mkuu wewe ni mnyarwanda na umekuwa mstari wa mbele kutetea kagame aongezewe muda wa kutawala kinyume na katiba ya nchi yenu.lakini uko against na Nkurunziza kuongezewa muda wa kutawala japokuwa sheria za nchi yake zinamruhusu..wewe kama mnyarwanda mambo ya burundi yanakuhusu nini?umekuwa mstari wa mbele kumdhalilisha raisi wetu Mh Kikwete na watanzania kwa ujumla..leo umekuja na suala la mlinzi wa raisi Nkurunziza.kwamba ni intarahamwe(mhutu) na blahblah nyingi..hivi vita vyenu ni dhidi ya wahutu popote pale walipo?kwamba nia yenu ni kuwamaliza wahutu wote walioko kwenye madaraka east and central africa?ukabila wenu utawagharimu sana ndugu yangu mchambawima?naomba hivyo vita vyenu viishie huko huko,msituletee shida nchi za jirani..nyie mnapokaa na kujitanua kumbukeni kwamba sisi watanzania ndio tunaopata shida ya kuletewa wakimbizi..kumbukeni kwamba Kikwete amewastahi sana ila raisi anayekuja hatakubali kuendelea kuwaentertain..Nyie wote ni ndugu moja chuki ya nini."mimi na wewe ni kitu kimoja,haina maana,haina maana kulumbana"(twanga pepeta)...be blessed!
Mkuu, huyo mzee wa sumu ni mchambawima1 mpu.mba.vu sana. Tunamjua humu, Utasikia jibu lake atasema wewe ni interahamwe uliyekimbilia Tanzania.
Last edited by a moderator: