Kama ulikuwa uonekani jimboni daw ndio hiyo na lazima wakumbuke sasa ni Utanzania kwanza hata akija mpumbavu mwengine lazima tajiuliza mara mbili mbili kilichompata alie mpisha kijiti,,,
sishangai watu wengi wa dodoma ni wajinga juzi kati nilipita chemba mpaka kondoa kusema kweli kondoa kusini(chemba)kwa nkamia kumechoka kama kulivo bahi kwa badwell bora kondoa mjini
Eti aliwaamuru WANANCHI wa Nchemba wakapigane na WAFUGAJI? Kuna tofauti gani kati Wananchi na Wafugani? Ndo maana kuna tetesi kwamba nyuma ya hii migogoro kati ya wakulima na wafugaji kuna wanasiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.