John alikutana na Irene wakaanzisha mahusiano, Lakn Irene alikuwa single mother. John alikuwa na nia ya dhati kwa Irene na alitaka kuoa Kwanu alimpeleka kwao akamtambulisha. Mahusiano yao yalidumu miezi sita baada ya kupishana lugha, Irene akawa mkali na kumtukana John kila aina ya tusi, John alijishusha na kutafuta suluhu kwa kila hali na kupitia watu mbali mbali, Irene aligoma kabisaaa.
Ikapita miaka 3 hv.. Irene akamtafuta John. Anaomba msamaha kwa kila hali na kujutia dhambi aliyoifanya. Amerudi kwa sasa amefall in love kuliko kawaida. Tatizo linakuja kuwa walipoachana Irene alibeba ujauzito mwingine na akajifungua mtoto mwingine.
John amefall kwa Irene wanampango wa kufunga ndoa ila wazazi wamegoma kabisaa na wamesema watamwachia laana kijana wao (john) iwapo atamwoa Irene....
Je ukikumbana na situation hii utashauri nini!?
Majina sio halisi ..
Ikapita miaka 3 hv.. Irene akamtafuta John. Anaomba msamaha kwa kila hali na kujutia dhambi aliyoifanya. Amerudi kwa sasa amefall in love kuliko kawaida. Tatizo linakuja kuwa walipoachana Irene alibeba ujauzito mwingine na akajifungua mtoto mwingine.
John amefall kwa Irene wanampango wa kufunga ndoa ila wazazi wamegoma kabisaa na wamesema watamwachia laana kijana wao (john) iwapo atamwoa Irene....
Je ukikumbana na situation hii utashauri nini!?
Majina sio halisi ..