Njooni tujadili kidogo hili

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,038
Reaction score
2,190
Et jmn mfano upo katika relation na umepata shida ya gafla inahitaji kama laki kazaa hv...katika akiba yako umepeleza laki 1....unamshirikisha mpenz/mchumba wako ambae unajua kabisa uwezo wa kukupa anao ila anakushauri uuze cm au uuze kitu cha ndani ili upate hiyo hela...kweli kuna mapenz hapo?
 

Huna mchepuko?!
 
Kuna mengi tusiyoyajua kukupa jibu sahihi.

Historia yenu juu ya kupeana zawadi ama fedha ikoje?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mapenz inategemean na mlivoleana

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Kama hana ni sawa lakini kama una amini anayo.

Anza moja kuseach mwingine
 
 


Hapo hakuna mpenzi ni manyoya tu. Jiongeze.
 
Mapenzi si pesa...

Wanaume hawajawahi kuwa bank...

Ushauri aliokupa ni kuntu. Kama shida ya pesa ni kubwa kuliko kumiliki simu... uza simu hiyo tatua tatizo lako.

Shida nyingine muwe mnaomba msaada kwa wazazi wenu...ebo!
 
Mapenzi si pesa...

Wanaume hawajawahi kuwa bank...

Ushauri aliokupa ni kuntu. Kama shida ya pesa ni kubwa kuliko kumiliki simu... uza simu hiyo tatua tatizo lako.

Shida nyingine muwe mnaomba msaada kwa wazazi wenu...ebo!
HA HA ATUAMBIE HANA BABA WALA MAMA MPAKA SHIDA ZAKE APELEKE KWA MPENZI
 
UNGEKUWA MKE WAKE SAWA HAPO JAMAA ANGEKUPA HIYO HELA ILA KWAKUWA NI WAPENZI NGUMU SANA KUPEWA KIASI HICHO WANAUME TUMESHASHTUKA YAANI TUWAGHARAMIE HALAFU BAADAYE MTUKIMBIE HAKIKA HATUWEZI FANYA UJINGA HUO,MIE MPENZI KUMPA HELA MWISHO ELFU KUMI TU OTHERWISE NIWE NIMEMUOA NDO ATAFAIDI HELA YANGU
 
Kwani wewe ni mke wake au ni mpenzi tu?
 
Tafuta njia mbadala ya kutatya tatizo lako,pengine kweli kwa wakati huu hana hyo pesa,hata kama anayo na kaamua kutokukupa pia ni haki yake,eidha hamna dasturi ya kusaidiana,au hana,au kaamaua tu kutokukupa.Lakini si lazima msaada utoke kwake,fikirisha akili yako kutafuta solution mbadala wa tatizo lako.si lazim uuze vitu vyako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…