VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Tangu mlipoweka haya mabomba yenu ya Wachina mwaka 2010 huku Tabata Segerea, Kisukuru na Kimanga,hayajatoa hata tone la maji. Maafisa wa Wizara ya Maji mnapewa majuma mawili kuanzia sasa aidha kuja kutoa mabomba yenu au kuhakikisha yanatoa maji. La sivyo,tutaanza kuwa wauzaji wazuri wa 'skrepa'...