kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 625
Habari zenu wana jukwaa, natafuta simu used iliyo salama, kwa anaeuza iwe hiyo unayotumia au nyingine tafadhari...
Tuma picha(au sema ni aina gano)muda uliyotumia, weka na bei yako na mawasiliano aua hata usipoweka mawasiliano nitakufuata chapchap PM.. Nipo hapa jukwaa online nikuwasubiri nyie. Sitoki
Iwe smartphone.
Nipo Dar
NB: kuna mtu ameniomba nimtafutie used nzuri so wana jf nimebisha hodi kwenu
Bei iwe nzuri ya kawaida
Tuma picha(au sema ni aina gano)muda uliyotumia, weka na bei yako na mawasiliano aua hata usipoweka mawasiliano nitakufuata chapchap PM.. Nipo hapa jukwaa online nikuwasubiri nyie. Sitoki
Iwe smartphone.
Nipo Dar
NB: kuna mtu ameniomba nimtafutie used nzuri so wana jf nimebisha hodi kwenu
Bei iwe nzuri ya kawaida