kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Habari za asubuhi,
Kwa heshima aliyotupa Tundu Lissu kuja humu kujibu maswali, naomba kupitia hii mada tumsaidie kupanga Baraza la Mawaziri endapo atashinda.
1. Waziri wa mambo ya ndani. EZEKIEL D. WENJE
2. Waziri wa Afya
3. Waziri wa nishati na madini GODBLESS J . LEMA
4. Waziri wa jeshi na kujenga Taifa JOHN HECHE
5. Waziri wa habari na micheze JOSEPH HAULE & TUMAIN MAKENE
6. Waziri kilimo na chakula ESTER MATIKO
7. Waziri wa katiba na sheria JOHN MALYA & HALIMA MDEE
8. Waziri wa fedha na mipango AMAN GOLUWA & ZITTO KABWE
9. Waziri wa utalii BONIFACE JACOB
10. Waziri Mkuu FREEMAN MBOWE
NOTE: Mkuu ukipita hakikisha Kurlzawa unanipa ukuu wa mkoa wa Dar.
Kila laheri
NAKUOMBEA UHAI KWENYE NYAMA DAMU NA MIFUPA.
Kwa heshima aliyotupa Tundu Lissu kuja humu kujibu maswali, naomba kupitia hii mada tumsaidie kupanga Baraza la Mawaziri endapo atashinda.
1. Waziri wa mambo ya ndani. EZEKIEL D. WENJE
2. Waziri wa Afya
3. Waziri wa nishati na madini GODBLESS J . LEMA
4. Waziri wa jeshi na kujenga Taifa JOHN HECHE
5. Waziri wa habari na micheze JOSEPH HAULE & TUMAIN MAKENE
6. Waziri kilimo na chakula ESTER MATIKO
7. Waziri wa katiba na sheria JOHN MALYA & HALIMA MDEE
8. Waziri wa fedha na mipango AMAN GOLUWA & ZITTO KABWE
9. Waziri wa utalii BONIFACE JACOB
10. Waziri Mkuu FREEMAN MBOWE
NOTE: Mkuu ukipita hakikisha Kurlzawa unanipa ukuu wa mkoa wa Dar.
Kila laheri
NAKUOMBEA UHAI KWENYE NYAMA DAMU NA MIFUPA.