kazi gani
inahitaji elimu gani?
muda wa kazi?
inahitaji mtaji?
umri na jinsia ?
vinginevyo hatupigi simu yaani nitumie vocha kupiga kitu ambacho hakieleweki?
kuna matapeli sana jf kila memba awe makini na watu hawa πππ
unaleta tangazo la kazi isiyo na kichwa wala miguu zaidi ya amba ya simu weraa hutupati