Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,911
- 6,001
Kuna kipindi walichukua taji la ligi kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa misimu saba mfululizo huku kwenye Uefa Champions League wakiwatoa Galacticos wa Real Madrid kwa misimu miwili mfululizo. Unawakumbuka mastaa hawa?
cc
Guasa Amboni
makaveli10
cc
Guasa Amboni
makaveli10