Hivi CRDB bado iko Burundi au ndio ilishakufa?Sasa mkuu watu wanafanya biashara mashariki mwa congo, ambako hata bank ni shida, sembuse Burundi, ambako bank zipo?
Hapo cha kufanya ni hizo pesa za burundi unakwenda sehemu za kubadirishia(bank) kwani burundi kwenye kubadirisha pesa ni wakali sana, wana taka uende sehemu rasmi, tatizo lao sasa ni rate za chini sana!!!
Utapata dola,
Hali ya usalama imeimarika sana mkuu, nadhani una muda hujafika BurundiNdio Burundi biashara ipo Ila rate ya Dola ipo chini mno,je aina gani ya biashara unatarajia kuipelekap
Hasa biashara ya mchele inakipa sana,changamoto ujambazi
CRDB ipo bado lkn pia KCB ipo vile vile changamoto benki ya taifa (BRB) imezuia miamala ya kimataifa kwa sarafu ya BIF (faranga)Hivi CRDB bado iko Burundi au ndio ilishakufa?
Ni kwel mimi ninafanya biashara huko simu zinauzika sana wao wanatumia sana itel hata smart zao nyingi ni itel changamoto ni mfumo wa chaja kule hawatumii chaja kama zetu ukimuuliza huyo rafiki yako atakuambia vizuri kwa kukushauri kama una mtaji mzuri unaweza kufungua kabisa duka lako kule ukaweka mtu wako akakuuzia, au wewe mwenyewe ukabaki kuwa unaagiza tu bidhaa zinakukuta kule.Mimi kuna rafiki yangu dereva wa malori aliambia twende naye Burundi nipeleke visimu vidogo na mabegi ya mgongoni ... tutoe mzigo kariakoo tupeleke Burundi
Baada ya kumaliza mazungumzo naye naingia jf nakutana na uzi huu .... eb nipeni uzoefu wenu wana ndugu
We upo sehem gani Bujumbura orNi kwel mimi ninafanya biashara huko simu zinauzika sana wao wanatumia sana itel hata smart zao nyingi ni itel changamoto ni mfumo wa chaja kule hawatumii chaja kama zetu ukimuuliza huyo rafiki yako atakuambia vzr kwa kukushauri kama una mtaji mzuri unaweza kufungua kabisa duka lako kule ukaweka mtu wako akakuuzia, au wewe mwenyewe ukabaki kuwa unaagiza tu bidhaa zinakukuta kule
Mkuu naomba namba yako kama hutojali. Au unaweza kunicheck tuyajenge kaka 0756981717Ni kwel mimi ninafanya biashara huko simu zinauzika sana wao wanatumia sana itel hata smart zao nyingi ni itel changamoto ni mfumo wa chaja kule hawatumii chaja kama zetu ukimuuliza huyo rafiki yako atakuambia vzr kwa kukushauri kama una mtaji mzuri unaweza kufungua kabisa duka lako kule ukaweka mtu wako akakuuzia, au wewe mwenyewe ukabaki kuwa unaagiza tu bidhaa zinakukuta kule
Wanatumia cable za matundu mawili au?Ni kwel mimi ninafanya biashara huko simu zinauzika sana wao wanatumia sana itel hata smart zao nyingi ni itel changamoto ni mfumo wa chaja kule hawatumii chaja kama zetu ukimuuliza huyo rafiki yako atakuambia vzr kwa kukushauri kama una mtaji mzuri unaweza kufungua kabisa duka lako kule ukaweka mtu wako akakuuzia, au wewe mwenyewe ukabaki kuwa unaagiza tu bidhaa zinakukuta kule
Wanaogopa kutakatisha pesaCRDB ipo bado lkn pia KCB ipo vile vile changamoto benki ya taifa (BRB) imezuia miamara ya kimataifa kwa sarafu ya BIF (faranga)
Hivyo ili ufanye miamara kimataifa ukiwa Burundi unatakiwa uwe na akaunti ya dola CRDB wanayo na KCB pia wanayo, ukiwa Burundi unaweza kudepost na kuwithdraw kwa dola kupitia akaunti yako hiyo hiyo hiyo
bado ipoHivi CRDB bado iko Burundi au ndio ilishakufa?
dah for the first time nmeangalia video jf ndefu mwanzo mpka mwisho mpka chozi lmentoka nauchukia umasikini
Mmhhh!!!,Hayo maneno una ushahidi nayo kwa kuona mwenyewe?,Kwa kuhisi?au Kwa kusikia?.Mkuu Burundi kuna ujambazi wa kutisha. Usalama ni mdogo sana.