Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 621
- 556
Ongo hili.
Ushahidi wake uko mahakamani kama kielelezo kwenye kesi?
For real nakuambia Endelea kujifanya hamnazo watoto wako wataipitia karma iliyopandikizwa na kizazi chako,one day yes
For real nakuambia Endelea kujifanya hamnazo watoto wako wataipitia karma iliyopandikizwa na kizazi chako,one day
Kwanini amevaa T-shirt ya CHADEMA? Very stupid
Lissu yupo wapi hapo?
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Unaongea leo,mbona hukufika kisutu,ukutane na dodoso!
HAKUNA wa kumtetea hadi anyongwe hadi kufa.
UVCCM/Green Guard huyo...Kwanini amevaa T-shirt ya CHADEMA? Very stupid
Lissu yupo wapi hapo?