Njombe hakuna nafasi ya upinzani

Njombe hakuna nafasi ya upinzani

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
CCM yazidi kuwa na nguvu katika mkoa wa Njombe baada ya wananchi wake kushuhudia ukweli kwa kuona utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ukifanyika kama ilivyoahidiwa.....wakazi hao wa Njombe amabo wana sifa ya uafanyaji kazi kwa bidii wamemthibitisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kuwa CCM itashinda tena kwa kishindo kikubwa hapo Njombe, wamemuambia upinzani hakuna kabisa mkoani hapo.
 
Ukifikilia kwa makini kuhusu Deo Filikunjombe, nahisi utabadili heading ya thread yako.
 
Kweli?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Wewe mtoa mada hasa naona hujitambui, yaani wee ni giza tena giza totolo, ina maana Njombe:-
1. Hakuna mfumko wa bei ya vitu
2. Mohospitalini ukienda unapata tu kila dawa
3. Akina mama wajawazito akienda kujifungua anapata kila kitu, gloves, jik, ergometrine inj n.k
4. Wazee hospitalini wanapata matibabu bure
5. Shule za secondari walimu wamejaa au wanajitosheleza
6. Michango ya hapa na pale mashuleni Njombe hamna
7. Nyumba za walimu zimejitosheleza
8. Mahakamani huambiwi ulete karatasi hapo njombe
9. Ukipata tukio la uharifu ukitoa ripoti hapo NJOMBE police wanafika mala moja
10. Hapo NJOMBE watoto wa vigogo wanasoma shule za secondari za kata

Aise mtu kama umevimbiwa ni bora kwenda chooni kujisaidia kuliko kuchafua hali ya hewa kwa mada uliyoiweka, afterall what is katibu mkuu wa chama, jangili mkubwa who is one hundred percent dangerous for the future of our nation.
 
CCM yazidi kuwa na nguvu katika mkoa wa Njombe baada ya wananchi wake kushuhudia ukweli kwa kuona utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ukifanyika kama ilivyoahidiwa.....wakazi hao wa Njombe amabo wana sifa ya uafanyaji kazi kwa bidii wamemthibitisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kuwa CCM itashinda tena kwa kishindo kikubwa hapo Njombe, wamemuambia upinzani hakuna kabisa mkoani hapo.
Yani siku mjinga ni mjinga tu. Umeandika nini tena...! Maana njombe naijua sana maana nimezaliwa huko. Na hali huko ni mbaya sana, watu ni masikini mno, wameporwa ardhi yao na mafisadi, mahospitalini shida tupu, umeme ndio kabisa mkoa mzima vijiji Sita ndio vina umeme,barabara chafu mno na mbaya kabisa ukielekea Makete, kuelekea Ludewa ndio siongei kabisa yaani ni kama Mbuga ya wanyama. Deo filikunjombe ameamua kuwa mpinzani maana wilaya yake ndio ya mwisho hapa nchini.Pole mtoa mada kwa ujinga ulinao, Kama wewe ni wa njombe basi sio hii njombe yetu. Khaa...nyevadimi....!
 
Wewe mtoa mada hasa naona hujitambui, yaani wee ni giza tena giza totolo, ina maana Njombe:-
1. Hakuna mfumko wa bei ya vitu
2. Mohospitalini ukienda unapata tu kila dawa
3. Akina mama wajawazito akienda kujifungua anapata kila kitu, gloves, jik, ergometrine inj n.k
4. Wazee hospitalini wanapata matibabu bure
5. Shule za secondari walimu wamejaa au wanajitosheleza
6. Michango ya hapa na pale mashuleni Njombe hamna
7. Nyumba za walimu zimejitosheleza
8. Mahakamani huambiwi ulete karatasi hapo njombe
9. Ukipata tukio la uharifu ukitoa ripoti hapo NJOMBE police wanafika mala moja
10. Hapo NJOMBE watoto wa vigogo wanasoma shule za secondari za kata

Aise mtu kama umevimbiwa ni bora kwenda chooni kujisaidia kuliko kuchafua hali ya hewa kwa mada uliyoiweka, afterall what is katibu mkuu wa chama, jangili mkubwa who is one hundred percent dangerous for the future of our nation.

Mkuu maswali ya hivyo huwa hatujiulizi ndani ya ccm yetu.....
 
Lakini watu wa njombe wanahitaji elimu zaidi. Sisi wa kusini na hasa wana historia tunajua hulka yao. Kumbukeni walifanya nini wakati mtwa mkwawa akipigana na wangoni na pia wakati wa kupinga ukoloni. Wanahitaji m4c ya kutosha
 
wewe mtoa mada hasa naona hujitambui, yaani wee ni giza tena giza totolo, ina maana njombe:-
1. Hakuna mfumko wa bei ya vitu
2. Mohospitalini ukienda unapata tu kila dawa
3. Akina mama wajawazito akienda kujifungua anapata kila kitu, gloves, jik, ergometrine inj n.k
4. Wazee hospitalini wanapata matibabu bure
5. Shule za secondari walimu wamejaa au wanajitosheleza
6. Michango ya hapa na pale mashuleni njombe hamna
7. Nyumba za walimu zimejitosheleza
8. Mahakamani huambiwi ulete karatasi hapo njombe
9. Ukipata tukio la uharifu ukitoa ripoti hapo njombe police wanafika mala moja
10. Hapo njombe watoto wa vigogo wanasoma shule za secondari za kata

aise mtu kama umevimbiwa ni bora kwenda chooni kujisaidia kuliko kuchafua hali ya hewa kwa mada uliyoiweka, afterall what is katibu mkuu wa chama, jangili mkubwa who is one hundred percent dangerous for the future of our nation.

wanaoafiki waseme ndio!
Ndiooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Hivi mbona Maccm wanapoibukaga tu wao na Chadema! Mbona hawakigusi kabisa chama cha Kiliberali! Au nao pia ni Maliberali? Maana kuna kipindi Nape alikuwa anatumia sana Calorite.
 
Hujui waliberal ni wachache dunian?
Hivi mbona Maccm wanapoibukaga tu wao na Chadema! Mbona hawakigusi kabisa chama cha Kiliberali! Au nao pia ni Maliberali? Maana kuna kipindi Nape alikuwa anatumia sana Calorite.
 
upinzani hakuna wakati deo ni mpinzani??? Akisimama tu bungeni ccm matumbo moto!

mimi ni mwanachama wa chadema.deo namfagilia sana.nimekaa washington d.c marekani kwa miaka kadhaa.wamarekani wana msemo usemao na nakuu "FIND THE GOOD AND PRAISE IT".yaani tafuta kilicho bora na ukisifie.deo sio mnafiki.ninachomshangaa anafanya nini huko UMAGAMBANI?.yeye ni kifaa kama vifaa vilivyoko chadema.ccm wanamwona kama adui.
 
Wewe mtoa mada hasa naona hujitambui, yaani wee ni giza tena giza totolo, ina maana Njombe:-
1. Hakuna mfumko wa bei ya vitu
2. Mohospitalini ukienda unapata tu kila dawa
3. Akina mama wajawazito akienda kujifungua anapata kila kitu, gloves, jik, ergometrine inj n.k
4. Wazee hospitalini wanapata matibabu bure
5. Shule za secondari walimu wamejaa au wanajitosheleza
6. Michango ya hapa na pale mashuleni Njombe hamna
7. Nyumba za walimu zimejitosheleza
8. Mahakamani huambiwi ulete karatasi hapo njombe
9. Ukipata tukio la uharifu ukitoa ripoti hapo NJOMBE police wanafika mala moja
10. Hapo NJOMBE watoto wa vigogo wanasoma shule za secondari za kata

Aise mtu kama umevimbiwa ni bora kwenda chooni kujisaidia kuliko kuchafua hali ya hewa kwa mada uliyoiweka, afterall what is katibu mkuu wa chama, jangili mkubwa who is one hundred percent dangerous for the future of our nation.
Hizo hapo juu ndo huwa zinaitwa kero za wanainchi ngazi ya jamii(grassroot level) pamoja na hizo juu naongezea zifuatazo
1. Noti mbovu za sh. 500, na hazionekani, na salafu ya sh. 100 kupotea Njombe hakuna hiyo
2. Upatikanaji wa maji salama,njombe huko maji ni bwerere mita 100 tu mmepata maji n.k

Kwa mfano suala la upatikanaji wa gloves kwa akina mama wajawazito , gloves hutumika kuangalia mwenendo wa mtoto tumboni mwa mama yake wakati a kipindi kigumu cha uchungu, na ikumbukwe huduma bure kwa akina mama wajawazito ni sera ya CCM, lakini gloves hua inabidi akina mama wanunue, hili kwa wanainchi makini halikubaliki kabisa kwa sababu fedha za mzee wa vijicent alizoficha huko kisiwa cha Newjersey zinatosha kununua makontena ya gloves ambayo yanaweza kutumika katika hospitali za Tanzania kwa miaka kumi.

Ndugu yangu SECURITY GUARD naomba ujitambue, wana Njombe wapendwa tunaomba mjitambue.
 
Ndo kasajiliwa dirisha dogo,buku 7 fc
 
kwa taarifa yako hata arusha hakukuwa na nafasi ya upinzani na kama unabisha kamuulize kinana na felix mrema wakati wakiwa wabunge walipata kura ngapi?
 
Mabadiliko yaja! Wana Njombe wanajitambua sasa hivi sio kama miaka hiyo hizo ni propaganda tu ambazo majibu yake yapo 2015
 
CCM yazidi kuwa na nguvu katika mkoa wa Njombe baada ya wananchi wake kushuhudia ukweli kwa kuona utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ukifanyika kama ilivyoahidiwa.....wakazi hao wa Njombe amabo wana sifa ya uafanyaji kazi kwa bidii wamemthibitisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kuwa CCM itashinda tena kwa kishindo kikubwa hapo Njombe, wamemuambia upinzani hakuna kabisa mkoani hapo.
NJOMBE ni mkoa! Umewezaje kufanya utafiti kwa kila mwana NJOMBE awepo NJOMBE au NJE ya NJOMBE na kukuthibitishia kwamba hawatapiga kura kwa mpinzani?!
Hata hivyo, MADA kama hizi kwa WATU MAKINI pamoja na UMASKINI wao ni kama taarifa ya MSIBA wa mtu muhimu! Ni MDAIWA wa MAREHEMU tu ambaye atafurahia taarifa kama hii!
Ni mafisadi na VIGAGULA wao tu wanaoweza kufurahia HISIA za kuyeyuka kwa UPINZANI nchini! Mie simo kati ya WAFURAHIAO misiba!
 
Upinzani inabidi ukawaelimishe sana wa kazi wa maeneo haya kuna umaskini wa kutupa lakini bado ccm inashinda ni kweli huko ni ngome ya ccm nyimbo alishinda 2010 kule njombe magharibi mangula akaitwa asaidie kuchakachua lwenge ashinde elimu ndo itasaidia sana maeneo ya huko ila Kama chadema wanaweka ushabiki Watkins 2015 basi kule hawapati kitu filikunjombe ni jembe lakini ccm hawawezi kumpa nafasi 2015 i think aende chadema make wanataka pindi chana aende
 
Mjinga mkubwa ww, Njombe ni ahadi ipi iliyotekelezwa? Mbn Makinda mwnyewe anajua hajafanya lolote, Acha kudanganya watu CHADEMA ya sasa Njombe iko imara sana, Ana Makinda anajfanya kutogombea kisa anajua ataumbuka, halafu CCM acheni mbinu chafu ya Kuwarubuni Wanafunzi wa Vyuo Vikuu esp vya apa DSM, msio jua wanaotegemea kum replace Makinda wameanza kujifanya wafadhili wa Njombe Intellectuals Association. Naongea nikiwa na uhakika kwani kuna mheshimiwa mmoja ana wadhifa mkubwa African Barrick Gold anawaandaa wanafunz wa vyuo ili wawe na Influence kwny Uchaguzi ujao,.
 
Back
Top Bottom