Njombe hakuna nafasi ya upinzani

Njombe hakuna nafasi ya upinzani

Mleta mada anapotosha umma Njombe saiz wananchi wanajitambua sana na ndio maana hata uchaguz wa 2010, ili kuvutia watu waliwaleta Orijino Komed, Marlaw na Madee.Ss kasema CCM wametekeleza ahadi, ss tuambie ni zp zilizotekelezwa?
 
Kinana na ccm yake wako hoi, mi nipo Njombe kwenye mkutano wa ccm response ilikuwa ndogo sana, wahudhuriaji walikuwani wale wa kupewa buku tano.
 
Kinana na ccm yake wako hoi, mi nipo Njombe kwenye mkutano wa ccm response ilikuwa ndogo sana, wahudhuriaji walikuwani wale wa kupewa buku tano.

Ccm ivi mikutano bila malori na wasanii haiwezekani? Afu mnajifariji kuwa mpo hai wakti Mpo Hoi.
 
CCM yazidi kuwa na nguvu katika mkoa wa Njombe baada ya wananchi wake kushuhudia ukweli kwa kuona utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ukifanyika kama ilivyoahidiwa.....wakazi hao wa Njombe amabo wana sifa ya uafanyaji kazi kwa bidii wamemthibitisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kuwa CCM itashinda tena kwa kishindo kikubwa hapo Njombe, wamemuambia upinzani hakuna kabisa mkoani hapo.

Tatizo sio tu kupata uwakilishi wa upinzani, Kinachotafutwa ni kupata uwakilishi halisi wa wananchi na sio watu waliojivika sura za kuwakilisha mawazo ya wananchi kumbe ni sera za njaa binafsi.
Deo anakubalika na ni mpigania wananchi wake. Angalia katika uchaguzi uliopita Slaa alimpigia Debe mwakyembe huko kwake, unataka kusema na huyo ni wa upinzani? au Dr alilambishwa mpaka amuunge mkono.
Watanzania tunataka wawakilishi wa mawazo yetu na sio wapigania mawazo ya watu fulani fulani.
 
CCM yazidi kuwa na nguvu katika mkoa wa Njombe baada ya wananchi wake kushuhudia ukweli kwa kuona utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ukifanyika kama ilivyoahidiwa.....wakazi hao wa Njombe amabo wana sifa ya uafanyaji kazi kwa bidii wamemthibitisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana kuwa CCM itashinda tena kwa kishindo kikubwa hapo Njombe, wamemuambia upinzani hakuna kabisa mkoani hapo.
Tunaheshimu uhuru wa kutoa maoni. Ingawa itakuwa vema kama usingizi ukiisha uje tena uandike ulicho kiona kama kinafanana na kile ulichokuwa unaota
 
kichwa kama jah people.Mwanamume mzima unaungana na waliberal?
 
Chadema chama cha matukio na matusi njombe hawana chao na mikoa mingine mingi tu.
 
Back
Top Bottom