Naomba msaada, matajiri wengi wa kiarabu wamefuga njiwa!, Hood ni mojawapo wa hao na amekuwa akinunua kiasi kikubwa cha ufuta kwaajili ya kuwalisha wale Njiwa, je kuna mahusianp yoyote kati ya uwezo wa kiuchumi alio nao, ama control za ajali ya mabasi yake na hao njiwa? yaani mambo ya teknolojia asilia(IK-indigeneous Knowledge)