Njia za asili za kukuza uume

Njia za asili za kukuza uume

hebu kuweni makini kidogo..si kila taarifa unayo ikuta kwenye mitandao ni salama na nin suruh la tatizo lako..hebu kwanz jiulize kwa nin unatak ukuze uume wako? majibu mengi ni kuwa kutak heshima kwa wanawake...ila heshim si hyo coz mashine nyingi kubwa zina matatz ya kudinda vzuri...heshima inakuj pale unapo pga game vzur.na kujua kucheza na hisia za gal wako...pia kam gal wak ana uke mpana sana kuna stail ambazo ukimuwek inajibana na atawez kupata mzuk hatari...by da way sehem zenye hisia kwa gal azipo ndani sana...kama watu wanavyo dhani...bali ni kama nchi 4 kutoka kweny mlango wa uke...kaka zangu hakuna haja ya kurefusha uume wak...ila kuna haja ya kuzijua sehem zenyr hisia za gal n jinsi ya kuzitumia...ila kuna wengine uume huwa mdogo sabab ya punyeto na unene so tibu kuacha punyeto na unene ..uume utakuw sawa na mwili wako ulivyo...
 
Wapendwa salam kwenu..nimejaribu kupitia mitandaoni na nimegundua maumbile ya mwanaume hutakiwa kuwa inch 6 kwa wastan bt i'm below that..naomba kujua njia za asili za kumkuza mdudu pasipo na madhara kiafya
 
Namna nzuri ya kujisaidia ni kujikubali na kujiamini kwa kile ulichobarikiwa nacho..
Wanawake wengi huchubua ngozi kwa kuamini kwamba wanaume wanapenda ngozi nyeupe..
La hasha kuna ambao wanapenda watu na natural color,appriciate what you have dude
 
Average penis size is 5-6 inches.

Kama alivyosema mdau Jawilat, kikubwa inatakiwa ujiamini wewe mwenyewe.

Mfano unaweza ukawa na mboo ndefu kidogo kuliko wastani, labda nchi sita na nusu, utajisikiaje endapo hapo hapo jamaa zako walio kuzunguka wakiwa na nchi 7, 8 au 9?

Ukibwa wa mboo sio tatizo, kinachotakiwa ujiamini tu.

Lakini kama upo interested na urefu wa mboo, basi fanya zoezi hili linalo itwa JELQING (stetching exercise)
zoezi hili litakuza mboo yako permanently.
Ingia google watakuelekeza jinsi ya kufanya.
 
jinsi ya kukuza uume wako na kuwa na uwezo wa kutokojoa mapema
kitandani..
Ni rahisi na kwa njia rahisi bila ya kutumia dawa ya aina yeyote!
Unachotakiwa
kufanya ni vitu vifuatavyo..
1.mafuta ya jelly
2.mikono misafi sana
3.utlivu wa hali ya
juu
jinsi ya kufanya..
Paka mafuta ya jelly mikononi mwako kisha paka katika uume wako kiasi cha kutosha.. Kisha tengeneza kama O, yani kama unataka kupiga punyeto hivi!! Kisha anza kwa kushika shingo yako ya mboo ukianzia chini kabisa karibu na mapumbu yako. Ukiwa
umetengeneza O teremka chini taratibu kama unakamua
maziwa ya ng'ombe na ukifika karibu na kichwa cha mboo acha anza tena chini kule ulipoanzia
mwanzo..
NB. Usiguse kichwa cha mboo ishia shingoni na
usimwage
shahawa/usipige
bao
fanya hivyo kwa dk 15..
Na Kwa siku 5 tu na baada ya wiki utaona matokeo.. Hii ni kwa ufupi tu! Kwa maelezo zaidi search google au you tube
NATURE PENIS INLARGEMENT
...
Nimekopi na kupaste mtandao fulani hapa nchini!
 
Chukua pilipili chumvi na malimao then changanya alaf jipakae baada wiki utanipa majibu????
 
Hii topic IPO humu jamvini jinc ya kukuza uume na moja ya mbnu aliyotoa mwamzilishi wa thread hili alitoa mbnu hiyo ya pilipil na limao
 
Wapendwa salam kwenu..nimejaribu kupitia mitandaoni na nimegundua maumbile ya mwanaume hutakiwa kuwa inch 6 kwa wastan bt i'm below that..naomba kujua njia za asili za kumkuza mdudu pasipo na madhara kiafya

Yakwako inchi ngapi mkuu?tatu au nne?
 
Ila binadamu haturidhiki, tayari una nchi 6 bado unalalamika. Wakati mwingine mwili wako unaweza kuwa ni sababu mfano kama wewe ni mfupi sana usitegemee kuwa na uume mrefu
 
wewe sasa unataka kuendeleza mada ya mastabesheni ambayo tunashauriwa tuiepuke,sasa unafikiri mtu apake mafuta alafu aanze kuushika mzakari nini mwisho wake
 
Baada ya kuumiza kichwa jinsi ya kukuza vipato vyenu ili muweze kuyamudu maisha....mnawaza namna ya kuyakuza madushe utafikri kuna mashindano ya madushe......ndio umasikini hautuachi na kamwe hautatuacha kama hatutobadilisha fikra zetu...kutoka katika mambo ya kipuuzi kama haya...
 
Baada ya kuumiza kichwa jinsi ya kukuza vipato vyenu ili muweze kuyamudu maisha....mnawaza namna ya kuyakuza madushe utafikri kuna mashindano ya madushe......ndio umasikini hautuachi na kamwe hautatuacha kama hatutobadilisha fikra zetu...kutoka katika mambo ya kipuuzi kama haya...

Miss you
 
Back
Top Bottom