Capitalist
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 164
- 27
Kuiba kura ni pamoja na kutumia mbinu chafu ambazo zinakiwezesha chama husika kushinda, mbinu hz ni kama zifuatazo
1. Kununua shahada za wapiga kura ili wasiende kupiga kura.
2.Kuondoa majina ya baadhi ya wapiga kura wanadhaniwa kuwa wako upinzani ili wasipige kura.
3.Kuwatumia polisi kuwatisha wapiga kura na kupiga mabom pale wapiga kura wanapoona kuna mizengwe inataka kufanyika mf. kubadilisha matokeo aliyeshindwa kutaka kutangazwa kuwa mshindi na aliyeshinda kunyang'anywa ushindi.
4.Kuwatumia wakurugenzi kutangaza wagombea wa chama tawala hata kama washindwa kutimizia agizo la rais aliyewateua kwamba lazima ahakikishe kwenye jimbo lake chama tawa kimeshinda.
5.Kuongeza maboksi ambayo yana kura zilizopigwa tayari.
6.kura zingine zinaingizwa zikiwa zimewekwa kwenye Hotpot ya chakula wakati wasimamizi wamepelekewa chakula.
7.Kuwahonga mawakala wa vyama vya upinzani kwa gharama yeyote.
8.Kuwa na vituo hewa vya kupigia kura mf. kituo hewa x ccm kura 2067, CDM kura 13.
9. Tume kupika matokeo hasa ya urais kuwa tofauti na yaliyoko majimboni.
ZIKO MBINU 12O ZINGINE ENDELEZENI MNAOZIFAHAMU.
1. Kununua shahada za wapiga kura ili wasiende kupiga kura.
2.Kuondoa majina ya baadhi ya wapiga kura wanadhaniwa kuwa wako upinzani ili wasipige kura.
3.Kuwatumia polisi kuwatisha wapiga kura na kupiga mabom pale wapiga kura wanapoona kuna mizengwe inataka kufanyika mf. kubadilisha matokeo aliyeshindwa kutaka kutangazwa kuwa mshindi na aliyeshinda kunyang'anywa ushindi.
4.Kuwatumia wakurugenzi kutangaza wagombea wa chama tawala hata kama washindwa kutimizia agizo la rais aliyewateua kwamba lazima ahakikishe kwenye jimbo lake chama tawa kimeshinda.
5.Kuongeza maboksi ambayo yana kura zilizopigwa tayari.
6.kura zingine zinaingizwa zikiwa zimewekwa kwenye Hotpot ya chakula wakati wasimamizi wamepelekewa chakula.
7.Kuwahonga mawakala wa vyama vya upinzani kwa gharama yeyote.
8.Kuwa na vituo hewa vya kupigia kura mf. kituo hewa x ccm kura 2067, CDM kura 13.
9. Tume kupika matokeo hasa ya urais kuwa tofauti na yaliyoko majimboni.
ZIKO MBINU 12O ZINGINE ENDELEZENI MNAOZIFAHAMU.