Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 658
- 686
Kama ni mgeni wa kuroot soma hizi kwanza
Jinsi ya ku unlock bootloader kwenye tecno
Twende sasa
MAHITAJI
Kompyuta
Recovery
Super SU
Vcom drivers
SP flash tool
Baadhi ya mahitaji yapo kwenye makala za nyuma,kwahiyo hapa tutakupa Recovery na Super SU tu. Pakua TWRP ,ipo mfumo wa rar,ndani ya hiyo rar kuna faili 2 ndani,SuperSU-v2.82.zip na TWRP.rar.
Hapo chukua SuperSU hamishia kwenye hifadhi zako iwe ya ndani au hifadhi ya kumbukumbu[memory card] kisha utafungua faili la TWRP ili kupata ile scatter file,ukishafungua zima simu yako na kisha chukua kompyuta yako nenda kwenye flash tool tafuta ile scatter file ielekeze kwenye Download
Ikishakaa bofya Download na Recovery itakua imekaa sehem yake,hakikisha imeloada na kufika 100% na utaona tik kubwa hapo chomoa simu yako washia kwenye recovery mode kisha nenda kasakinishe[install]ile Super Su baada ya hapo anzisha[reboot]simu yako na unakuwa umemaliza kazi.
Jinsi ya ku unlock bootloader kwenye tecno
Twende sasa
MAHITAJI
Kompyuta
Recovery
Super SU
Vcom drivers
SP flash tool
Baadhi ya mahitaji yapo kwenye makala za nyuma,kwahiyo hapa tutakupa Recovery na Super SU tu. Pakua TWRP ,ipo mfumo wa rar,ndani ya hiyo rar kuna faili 2 ndani,SuperSU-v2.82.zip na TWRP.rar.
Hapo chukua SuperSU hamishia kwenye hifadhi zako iwe ya ndani au hifadhi ya kumbukumbu[memory card] kisha utafungua faili la TWRP ili kupata ile scatter file,ukishafungua zima simu yako na kisha chukua kompyuta yako nenda kwenye flash tool tafuta ile scatter file ielekeze kwenye Download
Ikishakaa bofya Download na Recovery itakua imekaa sehem yake,hakikisha imeloada na kufika 100% na utaona tik kubwa hapo chomoa simu yako washia kwenye recovery mode kisha nenda kasakinishe[install]ile Super Su baada ya hapo anzisha[reboot]simu yako na unakuwa umemaliza kazi.