Madam vero
Member
- Sep 30, 2017
- 85
- 185
Yaan gudume huna Haya, we umgalagaze mtoto wa watu alafu hats hela ya kufulia chupi humpi??
Nakuunga mkono mkuuUjumbe mzuri sana,
GuDume umeeleza mambo mzuri na mifano hai kabisa.
Nachojua, hakuna mwanaume mgumu kutoa Pesa kwa mwanamke ila wanawake wanakosa ubunifu wa kuomba Pesa kwa mwanaume.
Badala yake mwanaume hushtukia tu kama anaibiwa!!!!!
Na wewe tiririka mapungufu ya wanaume ili tuyajue na kujirekebisha.Kila siku wanawake elezea basi na tabia za wanaume,,utafikiria nyie malaika
Inasikitisha sana...
Tatizo binadamu ni wabishi sana...
Ahahahahah watu mnafatiliaamkuu umesahau kutag leo....au ushaachwa..
Wanaotag ni mbwembwe tu mkuu..tunaowakamua humu jf hua hatutagmkuu umesahau kutag leo....au ushaachwa..
Haya maneno yenu ya kuudhi ndo yanasababisha muombwe hela. Eti tunawakamua mara utasikia mwingine anasema nimemgegeda mara nimemdinya jamani haya maneno yanaudhi sana yanamfanya mwanamke ajione hana thamani. Tafuteni lugha nzuri ya kumfanya mtu asijione mnyonge. Sasaiv anzeni kusema tumekulana, tumedinyana,tumegegedana uone kama kuna mtu ataomba hata mia. Tena wengine msipoombwa hela mnaanza kuwaita cheap. Mwingine akitoka hapo anaenda kujisifia yule nimemnunulia chips kuku nimeenda kumla hana hata garama. Wewe ulietoka kudinywa unamsikia mwenzio anasema hivyo utajisikiaje? Jamani tuheshimianeeee. Kikubwa ni heshima. Tukiheshimiana hata haya mambo ya kuombana hela hayatakuwepo coz wote tutaonekana tumefanya, kama ni dhambi wote tumefanya wote tumezini. Tatizo wanaume mnapenda sifa ndo kinachowacost.Wanaotag ni mbwembwe tu mkuu..tunaowakamua humu jf hua hatutag
Wa kuheshim ni mke tu kaka..wengne unajidanganya ...kamua baba,kamua baba..Haya maneno yenu ya kuudhi ndo yanasababisha muombwe hela. Eti tunawakamua mara utasikia mwingine anasema nimemgegeda mara nimemdinya jamani haya maneno yanaudhi sana yanamfanya mwanamke ajione hana thamani. Tafuteni lugha nzuri ya kumfanya mtu asijione mnyonge. Sasaiv anzeni kusema tumekulana, tumedinyana,tumegegedana uone kama kuna mtu ataomba hata mia. Tena wengine msipoombwa hela mnaanza kuwaita cheap. Mwingine akitoka hapo anaenda kujisifia yule nimemnunulia chips kuku nimeenda kumla hana hata garama. Wewe ulietoka kudinywa unamsikia mwenzio anasema hivyo utajisikiaje? Jamani tuheshimianeeee. Kikubwa ni heshima. Tukiheshimiana hata haya mambo ya kuombana hela hayatakuwepo coz wote tutaonekana tumefanya, kama ni dhambi wote tumefanya wote tumezini. Tatizo wanaume mnapenda sifa ndo kinachowacost.
Kama wa kuheshimu ni mke tu basi kubalini kuombwa hizo hela. Kumbe hakuna tofauti kwa aneomba na asiyeomba wote hawaheshimiki.Wa kuheshim ni mke tu kaka..wengne unajidanganya ...kamua baba,kamua baba..
Siku ukitendwa utajua wanawake ni watu gani...hautawatetea tena utaungana na mimi kuwakamuaKama wa kuheshimu ni mke tu basi kubalini kuombwa hizo hela. Kumbe hakuna tofauti kwa aneomba na asiyeomba wote hawaheshimiki.
Haaaaaaa agiza savanah ntalipaWimbo wa taifa huu tumeshazoea ila mwenye kujua wajibu wake hutimiza tu tena bila kuulizwa