Njia rahisi ya kunikataa kimapenzi ambayo kwanzia hapo sitokusumbua. Kwa mimi mwanaume Bukta hii ni nzuri

Suluhu ni kutafuta mke ili uachane na vijike uchwala, mke hatokuomba nauli wala ela ya supu! Utakachomuachia ndio uwezo wako na ataishi kulingana na kipato chako
 
Hahahahaha
Tafuteni pesa vijana....... Ukiona hivyo ujue ujakidhi viwango vya mdada yaani na yeye anakuona mpitaji tu!!!Unakuwa hauna muonekano wa mkaka anaejitambua ndio maana unapigwa vibomu......
Tatizo mnataka wadada wanaojielewa wakati nyie wenyewe hamjielewi..
Trust me hakuna mdada anaekutana na mkaka wa maana /potential yaaani mtu anaejielewa afu akawa anampiga vibomu.
 
Hahahahaha
Tafuteni pesa vijana....... Ukiona hivyo ujue ujakidhi viwango vya mdada yaani na yeye anakuona mpitaji tu!!!Unakuwa hauna muonekano wa mkaka anaejitambua ndio maana unapigwa vibomu......
Tatizo mnataka wadada wanaojielewa wakati nyie wenyewe hamjielewi..
Trust me hakuna mdada anaekutana na mkaka wa maana /potential yaaani mtu anaejielewa afu akawa anampiga vibomu.


Acha uongo tafadhali...
 
Demu mwenye tamaa ya chakula mwache aagize afu wewe huagizi mnakula wote sio mtu anadai chipc kuku afu anadokoa kdg anaacha what a fool! Vuta sahani sogeza kwako!!!
 
Hahahahaha
Tafuteni pesa vijana....... Ukiona hivyo ujue ujakidhi viwango vya mdada yaani na yeye anakuona mpitaji tu!!!Unakuwa hauna muonekano wa mkaka anaejitambua ndio maana unapigwa vibomu......
Tatizo mnataka wadada wanaojielewa wakati nyie wenyewe hamjielewi..
Trust me hakuna mdada anaekutana na mkaka wa maana /potential yaaani mtu anaejielewa afu akawa anampiga vibomu.
sio kweli
 
Nmependa sana ulivyoongea. Ntaacha kusema maneno hayo....umeongea kwa hisia sana


Haya maneno yenu ya kuudhi ndo yanasababisha muombwe hela. Eti tunawakamua mara utasikia mwingine anasema nimemgegeda mara nimemdinya jamani haya maneno yanaudhi sana yanamfanya mwanamke ajione hana thamani. Tafuteni lugha nzuri ya kumfanya mtu asijione mnyonge. Sasaiv anzeni kusema tumekulana, tumedinyana,tumegegedana uone kama kuna mtu ataomba hata mia. Tena wengine msipoombwa hela mnaanza kuwaita cheap. Mwingine akitoka hapo anaenda kujisifia yule nimemnunulia chips kuku nimeenda kumla hana hata garama. Wewe ulietoka kudinywa unamsikia mwenzio anasema hivyo utajisikiaje? Jamani tuheshimianeeee. Kikubwa ni heshima. Tukiheshimiana hata haya mambo ya kuombana hela hayatakuwepo coz wote tutaonekana tumefanya, kama ni dhambi wote tumefanya wote tumezini. Tatizo wanaume mnapenda sifa ndo kinachowacost.
 
Hahahahaha
Tafuteni pesa vijana....... Ukiona hivyo ujue ujakidhi viwango vya mdada yaani na yeye anakuona mpitaji tu!!!Unakuwa hauna muonekano wa mkaka anaejitambua ndio maana unapigwa vibomu......
Tatizo mnataka wadada wanaojielewa wakati nyie wenyewe hamjielewi..
Trust me hakuna mdada anaekutana na mkaka wa maana /potential yaaani mtu anaejielewa afu akawa anampiga vibomu.
Well said
 
wanawake wengi wanafanya hzo sehem zao za siri kama mtaji wa biashara,nakasirika sana hasa wa dar,wezi tu;
 
Back
Top Bottom