Njia pekee ya maendeleo katika nchi za Afrika ni kupitia elimu na tafiti

Njia pekee ya maendeleo katika nchi za Afrika ni kupitia elimu na tafiti

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
18,905
Reaction score
14,669
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke

Kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
 
Hata wasomi wachache tunawahujumu, Sasa tutawekezaje kwenye Elimu Mkuu.

Nadhani CCM wananufaika sana na kua na watu wajinga, unserious on national agenda hivyo wangependa waendelee kukeep satatus quo ili waendeles kutawala.

Embu jiulize, Katolewa Tulia kawekwa zungu kwenye Uspika wa Bunge, How?
 
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke hivo basi kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
Nchii hii haipigia hatua kimaendeleo pamoja na kuwa na utajiri wa rasilimali kwa sababu ya CCM iliyojaza wapumbavu na machawa kama wewe. Wanachojua ni kuua na kugawana vyeo.
 
Hiyo ingefaa kama nchi ungekuwa inathamini utaifa wake.
Solution za nchi za kiafrika cha kwanza ni kuondoa ufisadi na siasa za hovyo zisizojali utaifa.

Wanaokwamisha maendeleo ya hii nchi ni jamii yetu inayotupa viongozi wabovu.
 
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke hivo basi kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
Je ndiyo hizi hizi za ccm chafuzi chaguzi ama zile za Harvad university a global known institution?
 
Hata wasomi wachache tunawahujumu, Sasa tutawekezaje kwenye Elimu Mkuu.

Nadhani CCM wananufaika sana na kua na watu wajinga, unserious on national agenda hivyo wangependa waendelee kukeep satatus quo ili waendeles kutawala.

Embu jiulize, Katolewa Tulia kawekwa zungu kwenye Uspika wa Bunge, How?
wewe hio inakusaidia kivp kama hauna maslahi binafsi na unaetaka awepo, ni uku tu ndo tunajadilia siasa kila sku
 
Nchii hii haipigia hatua kimaendeleo pamoja na kuwa na utajiri wa rasilimali kwa sababu ya CCM iliyojaza wapumbavu na machawa kama wewe. Wanachojua ni kuua na kugawana vyeo.
Na nchi ambazo hazina rasilimali walalamikie nn? acha ujinga kua productive, kila saa unakaa unawaza rasilimali niuzembe
 
Hiyo ingefaa kama nchi ungekuwa inathamini utaifa wake.
Solution za nchi za kiafrika cha kwanza ni kuondoa ufisadi na siasa za hovyo zisizojali utaifa.

Wanaokwamisha maendeleo ya hii nchi ni jamii yetu inayotupa viongozi wabovu.
ufisadi wewe unakukwamisha vp kufika maendeleo yako? ata kama mtu kaiba mil 200 akajenga nyumba ama kununua gari bado hio hela inarudi kuzunguka kwa wananchi wa kawaida, mfano nikijenga nyumba kwa pesa ya ufisadi maaana yake wauza nondo, cement, wajenzi wote wanapata ajira hivo mawazo ya kwamba haufanikiwi kwa sababu ya ufisadi hayana mantik
 
Na nchi ambazo hazina rasilimali walalamikie nn? acha ujinga kua productive, kila saa unakaa unawaza rasilimali niuzembe
Hakuna nchi isokua na Rasilimali, zinapishana tu. Umaskini wa Tanganyika unasababishwa na CCM na machawa kama wewe, ndo maana tunahangaika na maji mpaka leo miaka 64 ya uhuru wakati tuna vyanzo vya maji vya kutosha.
 
Hakuna nchi isokua na Rasilimali, zinapishana tu. Umaskini wa Tanganyika unasababishwa na CCM na machawa kama wewe, ndo maana tunahangaika na maji mpaka leo miaka 64 ya uhuru wakati tuna vyanzo vya maji vya kutosha.
rwanda ina rasilimali gan au burundi
 
hahaha joke la kufungia mwaka, kwa cv za hao mawaziri ndiyo wafanikishe hayo? btw waziri wa alimu amewaambia wahitimu wajiajiri...
 
hahaha joke la kufungia mwaka, kwa cv za hao mawaziri ndiyo wafanikishe hayo? btw waziri wa alimu amewaambia wahitimu wajiajiri...
ndio , waache kulia ajira na wana elimu
 
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke

Kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
Kwenye mada yako hii; naondoa hayo maneno ya mwisho: "...ukikutwa unafanya siasa...."

Bila ya hayo maneno; halafu ukazungumzia huyo rais anayekuja, haraka kuondoa uchafu uliopo sasa; Naahidi kujadili na wewe mada ya namna hiyo kwa utulivu mkubwa sana na kwa heshima ya kipekee kabisa kwako; bila kujali historia yako mbovu humu ya kushangilia vifo vya waTanzania waliouliwa na Samia.

Tanzania tumepoteza sana mwelekeo katika hayo uliyoibuwa na yanayotakiwa kujadiliwa kwenye mada kama hii.

Tutajutia sana muda huu tuliopoteza chini ya hawa watawala ambao wamepoteza kabisa dira ya taifa hili.

Nataka uelewe kuwa kuhusu hili simulaumu Samia pekee; ingawa yeye na D yake moja hana habari kabisa juu ya maana ya hayo unayotaka wanaJF wayajadili kwenye mada hii.

Sasa nakuomba umuhimize Samia akae pembeni haraka iwezekanavyo, tuanze safari yetu upya kabisa.
 
wewe hio inakusaidia kivp kama hauna maslahi binafsi na unaetaka awepo, ni uku tu ndo tunajadilia siasa kila sku
Unapojadili mada muhimu hii kwa majibu kama hili, inaonyesha wazi hujui mada yako inahusu nini.

Huwa nafahamu neno la kiswahili, lakini limenitoka aklini kuhusu 'policy'.
Hao akina Zungu ndiko kunakoanzia maswala yote unayotaka kuona hizo elimu na tafiti unazozitamani.
Hawa akina zungu ambao hata haijulikani elimu yao ilifikia wapi, ndio utalkaowategemea pawepo na "SERA" zitakazoongoza hayo matamanio yako?

Unaleta mada kumbe haupo tayari kuijadili kwa kina?

Au ndiyo yale yale ya kupotezea lengo watu wasikumbuke tena uovu aliolifanyia taifa hili Samia wako?
 
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke

Kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
Tatizo liko wapi watu wakifanya siasa wakitaka,gharama ni zao na hawavunji sheria, kwanini mnapenda kubana bana watu kwa sababu zisizo na maana,watu sio wajinga kuacha shughuli zao kwenda kusikiliza every nonsense,acha waamue
 
ufisadi wewe unakukwamisha vp kufika maendeleo yako? ata kama mtu kaiba mil 200 akajenga nyumba ama kununua gari bado hio hela inarudi kuzunguka kwa wananchi wa kawaida, mfano nikijenga nyumba kwa pesa ya ufisadi maaana yake wauza nondo, cement, wajenzi wote wanapata ajira hivo mawazo ya kwamba haufanikiwi kwa sababu ya ufisadi hayana mantik
Kwa akili hizi, giza la maendeleo Tanganyika hakutapambazuka.

Unaweza kuhoji eti ufisadi unazuiaje maendeleo ?

Unajua madhara ya rushwa ?

Hata darasa la Saba tu atakuchambulia madhara.
 
Kwa raisi atakaefuata, njia pekee ya mafanikio katika maendeleo ni kuwekeza nguvu kubwa katika Elimu, tumejaza watu wengi sana kwa jina la wanaharakati wakiwa na mchango 0 katika taifa, zaidi ni watu ambao wanatamani nchi ilipuke

Kwa uongozi unaokuja vipaumbele ni elimu, baada ya uchaguzi nchi iingie katika biashara pamoja na research and development, ukikutwa unafanya siasa na sio mwaka wa uchaguzi sheria ifanye jambo
Chawa wajinga kama wewe ndio mtaji wa mbogamboga
 
Back
Top Bottom