Njia pekee ya kuinyofoa CCM madarakani

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Sep 21, 2019
5,575
8,690
Awali ya yote; Kidumu Chama cha Mapinduzi, Kidumu chama Tawala.

Niwape njia pekee ambayo wapinzani njaa wa Tanzania wanaweza kuiondoa CCM madarakani bila hata kubadili katiba wala kuwa na Tume Huru ya uchaguzi.

Nimefikiria hii njia ambayo ni "Long term process" Sidhani kama wapinzani wetu wenye Tamaa kama zote wanaweza kuifanya.

Njia yenyewe ni upandikizaji wa wanachama watiifu wa upinzani ndani ya CCM ambao kwa mda mrefu watachangamana na chama tawala nia yao kuu ikiwa ni kufanya kazi na upinzani ambapo 'pengine' wakiaminiwa sana wanaweza wakawa nominated kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais kupitia Chama Dume(CCM) Ambao wenyewe wanashinda always.

Sasa endapo mpinzani 1 aliyeaminiwa na CCM akaupata urais (ndoto) anaweza akafanya Reformation ya kufa mtu kwenye katiba, Dola, Tume N.k

Ambapo atahakikisha pengine upinzani wanaionja ikulu kwenye uchaguzi utakaofanyika.

Ni hivo tu, na uzi tayari.
 
Ccm itakufa yenyewe sina uhakika kama itaweza ku survive miaka 100 ijayo.

Saivi bila kuwaza wamegeuza upinzani ndani ya CCM (monoparty system).

Monoparty inahitaji lifetime president siyo kila kiongozi ana uwezo wa kusimamia mfumo huu so Magu atawale maisha na akifa amwachie mwanae au ndugu wa kisukuma. Na CCM kiwe chama cha kisukuma.

Na Magu ana bahati sana wasukuma wapo wengi zaidi kwa hiyo atapata wafanyakazi wa serikali kutoka usukumani.
 
Awali ya yote; Kidumu Chama cha Mapinduzi, Kidumu chama Tawala.

Niwape njia pekee ambayo wapinzani njaa wa Tanzania wanaweza kuiondoa CCM madarakani bila hata kubadili katiba wala kuwa na Tume Huru ya uchaguzi.

Nimefikiria hii njia ambayo ni "Long term process" Sidhani kama wapinzani wetu wenye Tamaa kama zote wanaweza kuifanya.

Njia yenyewe ni upandikizaji wa wanachama watiifu wa upinzani ndani ya CCM ambao kwa mda mrefu watachangamana na chama tawala nia yao kuu ikiwa ni kufanya kazi na upinzani ambapo 'pengine' wakiaminiwa sana wanaweza wakawa nominated kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais kupitia Chama Dume(CCM) Ambao wenyewe wanashinda always.

Sasa endapo mpinzani 1 aliyeaminiwa na CCM akaupata urais (ndoto) anaweza akafanya Reformation ya kufa mtu kwenye katiba, Dola, Tume N.k

Ambapo atahakikisha pengine upinzani wanaionja ikulu kwenye uchaguzi utakaofanyika.

Ni hivo tu, na uzi tayari.
Kwa kufanya hivyo utakuwa ni unafiki uliokubuhu
 
Awali ya yote; Kidumu Chama cha Mapinduzi, Kidumu chama Tawala.

Niwape njia pekee ambayo wapinzani njaa wa Tanzania wanaweza kuiondoa CCM madarakani bila hata kubadili katiba wala kuwa na Tume Huru ya uchaguzi.

Nimefikiria hii njia ambayo ni "Long term process" Sidhani kama wapinzani wetu wenye Tamaa kama zote wanaweza kuifanya.

Njia yenyewe ni upandikizaji wa wanachama watiifu wa upinzani ndani ya CCM ambao kwa mda mrefu watachangamana na chama tawala nia yao kuu ikiwa ni kufanya kazi na upinzani ambapo 'pengine' wakiaminiwa sana wanaweza wakawa nominated kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais kupitia Chama Dume(CCM) Ambao wenyewe wanashinda always.

Sasa endapo mpinzani 1 aliyeaminiwa na CCM akaupata urais (ndoto) anaweza akafanya Reformation ya kufa mtu kwenye katiba, Dola, Tume N.k

Ambapo atahakikisha pengine upinzani wanaionja ikulu kwenye uchaguzi utakaofanyika.

Ni hivo tu, na uzi tayari.
Nikukumbushe tu kuwa kidumu hicho kilisha toboka zamani Sana na kimekuwa kikivuja Bila nyie kujua,tafuteni njia ya kuziba tobo hilo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom