Ule mkataba wake na mbowe sio wakuuvunja kienyeji kama unavyofikilia yaani uamke tu asubuhi moja useme namfukuza Lowasa? thubutu uone.Hapa swala ni moja tu, Lowasa kwa sasa ni mzigo mkubwa pale Chadema anatakiwa arudi alipotoka au astaafu. La sivyo chama kitazidi kudhoofu, he is cancer for them kuanza upya siyo ujinga.
KWA TAARIFA YAKO HAKUNA KITU KINAITWA CHADEMA MONDULI, WOTE NI CCM, NA PESA ALIYOPEWA ALIYEKUWA MWENYEKITI WA COUNCIL ALIYEHAMIA CCM (MILIO 150) WAMEGAWANA VIONGOZI WA WANAOJIITA CDM MONDULI. CDM MAKAO MAKUU KUWENI MACHO NA LOWSA NA MONDULI YAKEAu tetesi za EDO kuandaa watu kurudi CCM ni kweli?
Alafu ma DED watakuwa hawapo 2020 au?Kwa hali ilivyo sasa ni uzwazwa kuingia kwenye uchaguzi ukitegemea kuishinda CCM. Maagizo ya bwana yule ni ushindi kwa CCM no matter what. These days he doesn't take no for an answer na hawa makada wa CCM (ambao ndio maDED na surprisingly haohao ndio "waajiriwa" wa Tume ya Uchaguzi kwenye jimbo husika) wanaogopa sana hizi tenguzi pale wanapotenda haki (soma "wanapokengeuka). Upinzani labda wasubiri mpaka uchaguzi mkuu 2020 maana kila mtu atakuwa anafight kwenye jimbo lake
DED mmoja anaweza akawa na majimbo hata matano. Time na energy ya kucoordinate wizi na vitisho itakuwa limitedAlafu ma DED watakuwa hawapo 2020 au?
FactKwa hali ilivyo sasa ni uzwazwa kuingia kwenye uchaguzi ukitegemea kuishinda CCM. Maagizo ya bwana yule ni ushindi kwa CCM no matter what. These days he doesn't take no for an answer na hawa makada wa CCM (ambao ndio maDED na surprisingly haohao ndio "waajiriwa" wa Tume ya Uchaguzi kwenye jimbo husika) wanaogopa sana hizi tenguzi pale wanapotenda haki (soma "wanapokengeuka). Upinzani labda wasubiri mpaka uchaguzi mkuu 2020 maana kila mtu atakuwa anafight kwenye jimbo lake
Hapana hata mm ningekuwa mzee wake ningemkataza kwa sasa mkurugenzi gani yupo tayar kupoteza kazi yake atangaze mpinzani kashinda labda ajilipe posha,mshahara na mafuta ya gar vinginevyo magufuli atafanya kama alivyofanya buyunguMimi nadhani familia yake bado ina mapenzi na Chama tawala, hivyo anajiona sio salama kugombea uongozi nje ya chama chake.
Nina uhakika angeipata nafasi ya kuteuliwa kuiwakilisha CCM angekubali.
Una pointChadema hamna sababu yakushiriki huo uchafuzi tafuteni mbinu mbadala za kusurvive maana yajayo yanahuzunisha 2020 msitegemee hata mmoja wenu kurejea bungeni au udiwani kwa aina hii ya siasa zinazofanywa na CCM. Msije kusema sikuwaambia.,, waacheni wakajichague wenyewe..ili washangilie kama mazuzu.
Tunawapenda tatizo hawana chakuvutia hoja nyingi na nzuri walikuwanazo 2015.Una point
PointlessTunawapenda tatizo hawana chakuvutia hoja nyingi na nzuri walikuwanazo 2015.
Mmawia Hoja gani ya sasa???Pointless
Endelea na mambo yako mkuuHoja gani ya sasa???
Huna lolote unalolijuwa wewe bendera fuata upepo,wekeni uwanja sawa wa kufanya siasa uone mtakacho vunaUPINZANI UNAPOTEZA VISION.WAWE WAANGALIFU.HOJA ZAO NA MISINGI(FRAMEWORK).IMEIBWA NA SASACCM INAFANYABRAIN DRAIN.....HAWAKUWA VISIONARY WALIVOMKARIBISHA EDO THEN WAKAJISAHAU.INTEREST YAO KUBWA ILIKUWA LOGISTICS!!!!!
Dogo kaona mzee karibu anaachana na siasa, kwanini ajichafue na kuzima ndoto yake kwa kujiingiza huko kwa watu wenye malengo binafsi. Ipo siku atachukua jimbo hilo kwa kupitia CCM, hiyo haina shaka.Au tetesi za EDO kuandaa watu kurudi CCM ni kweli?