NJIA NYEPESI YA KUKUBALIWA NA ADSENSE

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
It's not that hard kama wengi wanavyodhania, sina muda wa kuweka nyama kwenye post let me get straight on the objective,

1.DOMAIN (elfu 3 tu)
1.Jisajili godaddy
2.tafuta domain inayokupendeza ya .com (mafano www.xxxx.com)
3.doamin hizi mara nyingi ni dola 11...waweza kupata domain kwa dola 1 kwa kesechi google "godaddy domain coupons" ingiza coupon utazopata kwenye sehemu imeandikwa "promo code" kule godaddy.

2.KULINK DOMAIN YAKO NA BLOGSPOT
tazama hapa hatua kwa hatua

3.PREMIUM BLOGSPOT TEMPLATE
nunua premium template...nashauri mtumie sora templates zipo hapa nyingi hazizidi elf 25...zipo hapa ........ONYO:usidownload themes amazo zipo cracked/zimechakachuliwa kama upo serious
2.ukidownload kaiweke kwenye blogspot yako ambayo ume link na domain

3.KUWEKA POSTS
First of all hakikisha post unazoweka sio copy n paste,USIJARIBU!!! post ziwe katika mfumo ambao hazifanani neno kwa neno na post ambazo zipo mtandaoni,,,njia rahisi kukwepa hili ni
-notes za vyuo vya kibongo
-vitabu ambavyo havipo miandaon
-magazeti ya zamani ya kiingereza
- kichwa chako


weka posts zisizopungua 25 ndani ya siku 3 au zaidi....posts hakikisha zipo 25 na kuendelea

5.weka page ya home,contact us, about us na privacy....pia uweke sub category pages za post zako hapa nashauri posts zako zigawanyike makundi matano ili uwe na categories tano ili uziweke menu za category...mfano kuweka kuna category ya football, basket, tennis,wwe, rugby kwenye blog yako ya michezo

6.Ondoa takataka zisizohitajika kwenye template ya blogspot kama archieve, social network buttons, n.k

APPLY FOR ADSENSE
 
Sasa ukilink domain na blogspot si watakupa hosted acc na hosted acc wala sio dili...
Vipi kama nikiomba kwa WordPress hawanipa kwa haraka?
 
Sasa ukilink domain na blogspot si watakupa hosted acc na hosted acc wala sio dili...
Vipi kama nikiomba kwa WordPress hawanipa kwa haraka?
kwanza tuelewane vizuri

1. Domain - Jina la website / blog mfano www.kidukulilo.com ama kidukulilo.blogspot.com

2. Hosting - Huku ndiko kunakotumika kutunza mafaili ya website, huku ndiko kunatumika kuseti mpangilio wa website inavyoonekana

Ukiomba AdSense kwa kutumia custom domain kwamfano www.kidukulilo.com utapewa non hosted kwasababu hio domain iitaendelea kuonesha matangazo bila ikiwa hosted na google kupitia blogspot ama makampuni mengine ya kuhost kama godaddy kupitia wordpress

ila ukiomba adsense kwa domain za blogspot.com unapewa hosted account kwa sababu ni google peke yake anaeweza kuhost website yako kupitia blogspot
 
Ulicho assume sio sahihi..,.ukiomba AdSense kwa kutumia custom domain unapewa non hosted na itafanya kazi kuanzia domain za blogspot mpaka WordPress ila ukiomba adsense kwa domain za blogspot.com unapewa hosted account ambayo matangazo yake yataonekana kwenye websites za blogspot tu.

Nafurahi sana kuelimisha
Sawa nashukuru.. Ni ipi faida ya kulink na blog..
 
sikushauri utumie godady
1.kwanza sio cheap...
2.who is(privacy protection) hiyo kwenye godady unalipia wakati kwinigne ni bure
3.siku ukirenew domain ndio utajua kwanini bei ni rahisi?
 
sikushauri utumie godady
1.kwanza sio cheap...
Ni dola 1 tu (haizidi elfu 3)
2.who is hiyo kwenye godady unalipia wakati kwinigne ni bure
tunalipia domain tu kwajili ya kufanya kazi ya kupiga dollar, hayo mengine tunawaachia yanayowahusu.
3.siku ukirenew domain ndio utajua kwanini bei ni rahisi?
haizidi dola 13 (takribani elf 30) mwaka mzima, kwa mtu anaepiga adsense hii ni hela ndogo sana.
 
Hakunaga vya bure vyenye viwango...hizo domain za bure zinashusha sana uwezekano wa kukubaliwa AdSense na hii ni kwa experience yangu ya muda mrefu, ..siku unaporenew huwa haizidi dola 13(takribani elf 30) kwa mwaka mzima, ni bei sawa na bure kwa ambao wanatumia AdSense kupiga madola. Just imagine umeenda kuomba kazi cv umeiandika kwa mkono wala hujaiweka kwenye bahasha...hivi ndivyo unavyoonekana kwa AdSense unapotumia domain za bure ama template za bure
sijasema utumie domain za bure...
nilichosema godaddy ni platform mbaya kwa kununua domain hapo..
kuna namecheap and namesilo tumia hizo ila godaddy unazoziona ni bei rahisi kwa mwanzo running cost yake ni kubwa..
halafu mkuu kukubaliwa na adsense ni kitu kingine na watu kuangalia hizo ads ni kitu kingine.....
 
sijasema utumie domain za bure...
nilichosema godaddy ni platform mbaya kwa kununua domain hapo..
kuna namecheap and namesilo tumia hizo ila godaddy unazoziona ni bei rahisi kwa mwanzo running cost yake ni kubwa..
halafu mkuu kukubaliwa na adsense ni kitu kingine na watu kuangalia hizo ads ni kitu kingine.....
Running costs zipi boss, kwasababu hili zoezi linahitaji domain tu na hakuna cha ziada....Naonaga wana vitu vya ziada unavyoweza kuviongezea kwenye domain ila havinaga umuhimu kwenye kuapply adsense na ndio maana sijavishauri, namecheap ni bei rahisi kurenew ila utofauti wa bei za kurenew ni mdogo sana yani......plus nimependekeza godaddy kwa sababu tutorials na matatizo yanayowakumba wateja mengi yameshajibiwa kwenye forums nyingi sana tofauti na namecheap.......anyway kwa ambao wanaipenda namecheap wapo free kuitumia.

ukikubaliwa adsense ukiweka matangazo unasubiria kwa siku moja au mbili matangazo yaonekane kwa watu
 
Why ukilink blog na Custom domain.

Kunakuwa na usumbufu wa Https na www.

Sometime bila kuandika hizo protocal huwezi pata access.
Wakati ukiongia Websites nyingine bila kuweka hata www. Au https huwa zinakuja Automatic na website inafunguka.

Why in Custom domain linked with blogsite

Push to Start
 
Why ukilink blog na Custom domain.

Kunakuwa na usumbufu wa Https na www.

Sometime bila kuandika hizo protocal huwezi pata access.
Wakati ukiongia Websites nyingine bila kuweka hata www. Au https huwa zinakuja Automatic na website inafunguka.

Why in Custom domain linked with blogsite

Push to Start
Siku hizi kuna option kwenye settings za blogspot kuredirect naked domain zisizo na www. Ziwe redirected kwenda, kiukweli lilikuwa ni tatizo ila lipo fixed tayari
 
Vip swala la lugha kwenye blog kaka...? Je hata ukitumia kiswahili? Ila ukafuata step ulizotoa bado adsense watakuapprove???
 
Back
Top Bottom