NJIA MBADALA YA KUBADILI COURSE(simple but it may cost u)

NJIA MBADALA YA KUBADILI COURSE(simple but it may cost u)

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
759
Jamani kuna njia imegundulika na hu2miwa na wa2 wengi hasa waliochaguliwa cozi ambazo hawazitaki.,na wanataka kubadili.,tofauti na njia ya kwanza ili uweze kubadili ni lazima ufike chuoni ufanye kwanza usajili ndio uandike barua ya kuomba kubadili course,NJIA MBADALA, ni kwenye joining instruction yako unatakiwa uandike course unayoitaka na jina lako hyo kwa kumaanisha ume2miwa kwa posta ,then ukifika siku ya kwanza chuo unaenda kujiregister kwenye course unayoitaka hyo ni kutokana na barua yako inavyosema ,watakusajili kwenye course unayoitaka..then baadae ndo ufatilie! IKITOKEA WAKAKUSHTUKIA waambie hyo ndiyo joining uliyoipata..! For more qns ask>>"updatedboy"
 
This method is indirect..and not official simply we can say it is illegal but applicable
 
mimi joining istruction na admission letter nimedownload katika web ya chuo,na unajaza mwenyewe jina lako,pia ukifika chuo majina yapo waliochaguliwa kila course so huwezi kufanya hivy unavyofkiria wewe,labda UDOM ndio nadhani mnaweza kufanya.
 
Joining unayotumiwa na chuo inakuwa na sahii na mhuri wa chuo so lazima ugundulike
 
mimi joining istruction na admission letter nimedownload katika web ya chuo,na unajaza mwenyewe jina lako,pia ukifika chuo majina yapo waliochaguliwa kila course so huwezi kufanya hivy unavyofkiria wewe,labda UDOM ndio nadhani mnaweza kufanya.

ckia,chuo hakidili na tcu information,ila kina dili na registration yako..umesajiliwa coz gan?then baada ya hapo watatambua taarfa zako afta usajil and not otherwise
 
mimi joining istruction na admission letter nimedownload katika web ya chuo,na unajaza mwenyewe jina lako,pia ukifika chuo majina yapo waliochaguliwa kila course so huwezi kufanya hivy unavyofkiria wewe,labda UDOM ndio nadhani mnaweza kufanya.

ckia chuo cku zote kinatambua taarfa afta registration xema mkopo lazma uwafate mwenyewe dar
 
Joining zingne zina sehemu ya jina 2 kujaza

yeah,hyo ndo saf ambayo haina complication,maana baada ya ucajl,document wanapeleka departiment huxka...xo watakutambua kwa course uliyosajiliwa na ciyo uliyopangiwa na tcu ok?
 
mhh,mbona mnanipa maruweruwe,sifanyi huo mchezo wasije wakanimwaga katikati ya semister then nisijue pakukimbilia
 
mhh,mbona mnanipa maruweruwe,sifanyi huo mchezo wasije wakanimwaga katikati ya semister then nisijue pakukimbilia


Huyu dogo lugano5,
anachezea sana timamu za watu...!!

Yeye ni unregistered 1st year students,tena ameomba sana ushauri humu jf jinsi ya kuhama family consumer for BVM,leo anakuja hapa kutuhakikishia chocho zake za kihuni zisizo na logic...

Umeziona admission letters za udsm wewe..?? Au unapiga domo tu..

Acha kudanganya/kupotosha watu,ama hujasoma rules za jf...
 
Last edited by a moderator:
Huyu dogo lugano5,
anachezea sana timamu za watu...!!

Yeye ni unregistered 1st year students,tena ameomba sana ushauri humu jf jinsi ya kuhama family consumer for BVM,leo anakuja hapa kutuhakikishia chocho zake za kihuni zisizo na logic...
anataka kutuingiza chaka,anafkiri chuo wanakwenda tu bila formula,
Umeziona admission letters za udsm wewe..?? Au unapiga domo tu..

Acha kudanganya/kupotosha watu,ama hujasoma rules za jf...
anataka kutuingiza chaka,sifanyi huo mchezo,chuo watu hawendi kama mafungu ya nyanya,wanakua wameshajipanga na wao
 
Huyu dogo lugano5,
anachezea sana timamu za watu...!!

Yeye ni unregistered 1st year students,tena ameomba sana ushauri humu jf jinsi ya kuhama family consumer for BVM,leo anakuja hapa kutuhakikishia chocho zake za kihuni zisizo na logic...

Umeziona admission letters za udsm wewe..?? Au unapiga domo tu..

Acha kudanganya/kupotosha watu,ama hujasoma rules za jf...

paparazi,ninachoxema ni cha kweli,na weng wamefanya..bt very risk...admission letter kuchange z ver easy!
 
Last edited by a moderator:
anataka kutuingiza chaka,sifanyi huo mchezo,chuo watu hawendi kama mafungu ya nyanya,wanakua wameshajipanga na wao

ujaambiwa ufanye,hii n altenatively,na ya tatu NENDA TCU WATAKUBADILISHIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom