NJIA MBADALA YA KUBADILI COURSE(simple but it may cost u)

NJIA MBADALA YA KUBADILI COURSE(simple but it may cost u)

paparazi,ninachoxema ni cha kweli,na weng wamefanya..bt very risk...admission letter kuchange z ver easy!


Usitufunge kamba za kiunoni kama ngedere;

Nani alifanya huo utoto akafanikiwa...??

Vipi wewe tatizo lako la kuhamia BVM ulishapata ufumbuzi...??

Wabongo bhana::unajua fika kuwa ukikanya kaa la moto ni lazima uungue,bado unajifanya umekomaa unataka ukalie kabisaa;
Shauri zako,unadhani wao hawakusoma...!!
Tena mbaya zaidi wengine social forums ndio vijiwe vyao,sijui utawahadaa wapi?
 
Poah,mkuu bt kuna wa2 nawajua wamefanikiwa na wapo chuo had leo hii!
 
Bodi ya mkopo inapelekewa matokeo yako pamoja na kozi uliyopatia mkopo.

Sasa fikiria hapo kwanza.
 
Bodi ya mkopo inapelekewa matokeo yako pamoja na kozi uliyopatia mkopo.

Sasa fikiria hapo kwanza.

hayo,yanafanywa na tcu,lakn taarfa znazotambulka ni utakapojisajil chuon
 
kwan mzumbe admission letter zpoje?


Kumbe hata hizo admission letters zilivyo hujui....

Acha nikuoneshe utoto wako...
Admission letter ya udsm ipo hivi;
*jina la mwanafunzi...
*college ya mwanafunzi...
*course ya mwanafunzi...
*admission no. ya mwanafunzi..

Hapa unafanyaje?,kama sio kutupumzikia na unanga wako...
 
Kumbe hata hizo admission letters zilivyo hujui....

Acha nikuoneshe utoto wako...
Admission letter ya udsm ipo hivi;
*jina la mwanafunzi...
*college ya mwanafunzi...
*course ya mwanafunzi...
*admission no. ya mwanafunzi..

Hapa unafanyaje?,kama sio kutupumzikia na unanga wako...

nanga wa demo wewe,utaroll !
 
nanga wa demo wewe,utaroll !


Weeeee kurutuu una malingaling na mapuuza ya mwili,nafsi na roho....
Kuwa na nidhamu mimi sio AKC mwenzako,utakula kazi uache unyoya,uende bar kukata watu kucha,au unanifananisha na bibi nkuna nazi,au ulinionaga kwenye album ya dada'ko.... lugano5 jeshi raha,moralu ndo silaha.....

The topic concerns:
Usitudanganye kaka, hako kautundu kako ni kakikuda sana..
 
Last edited by a moderator:
hiyo njia uzushi , ni kama ukutane na swali la hesabu y^2+2y+4 =0 find y then ukazijumlisha y squared na y ...it just doesnt work like that.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom