Njia kuu yako,Mchepuko wangu

Njia kuu yako,Mchepuko wangu

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,956
Reaction score
134,035
Wabongo mbona tunakuwa mashujaa wa kupindua mambo.

Hii kauli mbiu imekuwa moto kwa wapenda michupuko.

Baada ya zomea zomea kuzidi wamekuja na kauli mbiu pinzani kwamba Njia kuu yako,mchepuko wangu.

Mwana Jf makini pinga kauli mbiu hii.
 
Yaan mimi naoa halafu mtu anataka kuja kunimegea mke wangu hakiyanan nang'oa meno m2 bila ganzi
 
navuta taswira hapa, Mtu aje anijibu hivyo afu ukiangalia Mume kweli kipepeo aiseee, sitaki kuwaza kitakachofata....
 
Kuwa side chick yataka moyoo jmn,habari za mtu kukutafuta akiwa na shida zake tu mbona ni kazii
 
Kuwa side chick yataka moyoo jmn,habari za mtu kukutafuta akiwa na shida zake tu mbona ni kazii
SISE CHICKS AE THE ONES BAILING, LIVING LARGER THAN LIFE CONSIDER IT COMPANSATION FOR ETERNAL FIRE!

Wake za watu wanataka moyo jamani, jana kuna shosti na mume wake wamehamia nyumba yao last week, kanialika manake ni kuningangania niende wanaibariki jana, nikasema kajenga ghorofa nii huko ununio.? Ngoja niende! Looooh! Mke mwema sanaa sjosti yangu, nyumba haina sakafu, umeme, maji wala singbodi!!! Looooh! Mchepuko utauweka bandani hivo thubutuuuuuuuu! Nikampongeza kwa mengi!

Mchepuko unakula hoteli, unala $150 rooms, unashop, unakula bata 24/7. MANAKE POLICY INAJULIKANA KABISAAA HUNA HELA NENDA KWA MKEO WA KUFA NA KUZIKANA HUKU PESA MBELE KAMA TAI!

Tatizo michepuo yote itaenda motoni! Hapa ndo panapotisha!
 
SISE CHICKS AE THE ONES BAILING, LIVING LARGER THAN LIFE CONSIDER IT COMPANSATION FOR ETERNAL FIRE!

Wake za watu wanataka moyo jamani, jana kuna shosti na mume wake wamehamia nyumba yao last week, kanialika manake ni kuningangania niende wanaibariki jana, nikasema kajenga ghorofa nii huko ununio.? Ngoja niende! Looooh! Mke mwema sanaa sjosti yangu, nyumba haina sakafu, umeme, maji wala singbodi!!! Looooh! Mchepuko utauweka bandani hivo thubutuuuuuuuu! Nikampongeza kwa mengi!

Mchepuko unakula hoteli, unala $150 rooms, unashop, unakula bata 24/7. MANAKE POLICY INAJULIKANA KABISAAA HUNA HELA NENDA KWA MKEO WA KUFA NA KUZIKANA HUKU PESA MBELE KAMA TAI!

Tatizo michepuo yote itaenda motoni! Hapa ndo panapotisha!

yahhh tru that...fun at it's best coz unajua hamtadumu..but mtu utakuwa side chick hadi liniiiiiii........ mapenzi ya kupimiwa nayo mi naona yananikera kuliko,
 
Ambacho watu hawaelewi ni kwamba, hata huko kwenye njia ya mchepuko kuna watu wanaishi na hiyo njia iwe ya vumbi au lami ndiyo njia yao kuu. Na hiyo njia kuu ya wengine kwao ni mchepuko......
 
kuchepukia kwenye njia kuu za watu zmewaponza wengi.
wanawake kumwagiwa maj ya moto usoni.
wanaume kuliwa tigo na hili nna ushahid nalo.
 
SISE CHICKS AE THE ONES BAILING, LIVING LARGER THAN LIFE CONSIDER IT COMPANSATION FOR ETERNAL FIRE!

Wake za watu wanataka moyo jamani, jana kuna shosti na mume wake wamehamia nyumba yao last week, kanialika manake ni kuningangania niende wanaibariki jana, nikasema kajenga ghorofa nii huko ununio.? Ngoja niende! Looooh! Mke mwema sanaa sjosti yangu, nyumba haina sakafu, umeme, maji wala singbodi!!! Looooh! Mchepuko utauweka bandani hivo thubutuuuuuuuu! Nikampongeza kwa mengi!

Mchepuko unakula hoteli, unala $150 rooms, unashop, unakula bata 24/7. MANAKE POLICY INAJULIKANA KABISAAA HUNA HELA NENDA KWA MKEO WA KUFA NA KUZIKANA HUKU PESA MBELE KAMA TAI!

Tatizo michepuo yote itaenda motoni! Hapa ndo panapotisha!

Hapo pa motoni wala hapawatishi michepuko ingekua ishapungua ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom