Njia ipi inatumia bundle sana

Njia ipi inatumia bundle sana

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,574
Hello guys, naomba msaada kidogo...
huwa natumia sana youttube kwa ajili ya kujisomea (kuongea maarifa) sasa swali langu ni kuwa
kama kuna video ina dakika 50 na ina mb 145..

nikiangalia moja kwa moja youtube na niki-download ipi inaweza kusave bundle..
 
Download unachagua aina ya format,hivyo yanakuwa maamuzi ni yako,kuchagua yenye mb nyingi au chache
 
Download unachagua aina ya format,hivyo yanakuwa maamuzi ni yako,kuchagua yenye mb nyingi au chache
je ukidownload kwa format ileile ambayo utaitumia wakati wa ku stream bado kiwango cha data utakacho tumia kitakuwa kilekile
 
Hello guys, naomba msaada kidogo...
huwa natumia sana youttube kwa ajili ya kujisomea (kuongea maarifa) sasa swali langu ni kuwa
kama kuna video ina dakika 50 na ina mb 145..

nikiangalia moja kwa moja youtube na niki-download ipi inaweza kusave bundle..
jibu ni hapana coz kwalit ya video ndio inabeba MB kwa mfano unaangalia youtube video ambayo kwaliti yake 1080p alafu kuka download kwalit 360p MB nyingi zitatumika kwenye kwaliti 1080p na kama utaangalia kwenye kwalit ya 360p na ukadownload kwenye 1080p basi MB nyingi zitaenda kwenye kudownload hivi vitu vinaenda kwa kwaliti sasa wewe inakubidi udownload ili uweze kuludia hilo soma ambalo unalisoma ili kusave MB zako
 
jibu ni hapana coz kwalit ya video ndio inabeba MB kwa mfano unaangalia youtube video ambayo kwaliti yake 1080p alafu kuka download kwalit 360p MB nyingi zitatumika kwenye kwaliti 1080p na kama utaangalia kwenye kwalit ya 360p na ukadownload kwenye 1080p basi MB nyingi zitaenda kwenye kudownload hivi vitu vinaenda kwa kwaliti sasa wewe inakubidi udownload ili uweze kuludia hilo soma ambalo unalisoma ili kusave MB zako
Jibu limejitoshereza kabisa hili
 
kuongezea kwa majibu ya wadau hapo juu, kama internet yako sio nzuri na speed inapanda na kushuka, kudownload kutakula mb chache na kuangalia online kutakula mb nyingi,

na assume unaangalia video ya dakika 5.

youtube wao wanakuchagulia quality kutokana na speed yako, umeanza kuangalia speed yako ni ndogo umeangalia sekunde 30 na video ime buffer mpaka dakika 2 (hapa ni sawa na umedownload 40% ya video yako), ghafla mtandao wako speed ikaongezeka, youtube watafuta ile uliodownload na kisha wata buffer kwa quality kubwa zaidi, hivyo huu mchezo wa kuchange quality huku unaangalia video na kudelete kile ulicho buff basi utasababisha mb ziende nyingi zaidi kuliko kudownload.

solution yake hii kama unatumia browser utafute extension inayofanya quality iwe fixed.
 
Salute wadau wote mliochangia kwenye huu uzi
 
Back
Top Bottom