Kop0
Member
- Oct 6, 2021
- 71
- 96
- Thread starter
- #61
Isue jamaa anataka kuwa na mamlaka na kwangu kisa nimemkuta. Nilishalalamika sana kwa mwenyekiti vituko anavyofanya. Mwenyekiti kamwelimisha jamaa hataki kuelewa. Kasema tumalizane wenyewe jamaa kajizima data.Jinsi majirani walivyo na umuhimu usingethubuti kumfanya akuogope.
Kama hamuonani mara kwa mara means ni ngumu ninyi kua marafiki, kama sio marafiki ni majirani tu mbona easy sana kuishi ivo.