Njia gani nitumie kudai deni?

Njia gani nitumie kudai deni?

Nenda kilingeni mpige kipapai, mshushe busha, watakutafuta ukoo mzima, walipe deni na faini!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Zipo njia mbili na ngumu kidogo mie niliona zimefanikisha kwangu,nenda kwake kakae sebulen usindoke hd amekupa chako kaa hapo,kula hapo mda wote mkewe akuone upo ht km ni wiki mbili kaa hapo,pili fanya upelelezi ujue siku yupo nyumban esp jumapili asbh ya saa nne anzia mtaa pili vua nguo watu wakianza kukufuata kwa wingi tembea hadi kwake zama ndani hutoki humo hadi ulipwe,km utaweza fanya hivo
Dah...kama ukitumia njia hizi…..na asikulipe...basi hilo deni nitalilipa mimi...nitaomba mawasiliano yake tu...kuna kazi atanifaa 🤣 🤣🤭
 
Anategemea mshahara na boss wake alishanishauri nimpeleke mahakamani

Mahakamani atakusumbua tu ,mwisho wa siku atakwambia nitakuwa nakulipa elfu 5 kwa mwezi mpaka deni liishe....Kama ana mali kama bodaboda ,kiwanja etc inabidi ukukabidhi kisheria kama yeye anakubali unamdai.
 
Mwengine unamkopesha alafu anakuchukia kwa sababu hawezi kukulipa yaani ni taabu tupu mimi huwa nanyamaza kama sijui ila ajue ndio basi tena shilingi tano yangu hatakaa aione.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unanitia hasira sana.
Maana kuna Jamaa nilimkopesha laki 4 mwaka 2019 mpaka leo hii ananipiga sound tu, kilasiku ana matatizo yeye anafikiri labda mimi sina matatizo.
Matokeo yake mimi nimekuwa adui baada tu yakudai haki yangu.
 
Wakuu na mimi nina tatizo hili hili. Nawadai watu wengi pesa nyingi nimejaribu kila njia hawanilipi. Hakuna mwenye utaalamu was kienyeji humu anipe mbinu?
 
Nimemfuata kiustarabu imeshindikana, nimemfuata kiukali lkn wap, nimeongea na watu wake wa karibu pamoja na familiya yake nimeambulia patupu, nikamtishia kumpeleka mahakamani akasema hatukuandikishiana popote hamna shahidi, sasa jamani nitumie njia gan nyingine nilipwe deni langu? Naombeni ushauri
Fanya kumuibia tu ndo njia pekee uloisahau
 
Mtafutie style na wewe umpige tu
Ngoma iwe draw

Ova
 
Nimemfuata kiustarabu imeshindikana, nimemfuata kiukali lkn wap, nimeongea na watu wake wa karibu pamoja na familiya yake nimeambulia patupu, nikamtishia kumpeleka mahakamani akasema hatukuandikishiana popote hamna shahidi, sasa jamani nitumie njia gan nyingine nilipwe deni langu? Naombeni ushauri
Nadhani njia ya Rahisi ni kumchtaki kwa mungu. Njia nyengine ni ngumu kidogo...
 
Sasa Mimi nadaiwa elfu mbili tu na jamaa lakini imekuwa ngumu kuipata nikamlipa
 
Nilitaka kukushauri kitu lakini nashindwa kuelewa ulimkopeshaje?? Aliazima kua atakurudishia baada ya muda mliokubaliana au ulimkopesha kwa riba au niaje
Nilimkopesha bila riba lkn imeshapita miezi kadhaa sasa
 
Back
Top Bottom