Duuh! My memory is still sharp I guess. In general mkoa wa Iringa pamoja na kulima mazao mengi ya biashara,watu wengi wako hoi kwa umaskini. Huwezi fananisha na wale tunaowaona mkoa wa Njombe na Mbeya. Kidogo Mafinga sababu ya biashara ya mbao kuna ahueni kidogo....and yet huu mkoa umetoa wasomi wengi sana maana ulikuwa na shule nyingi za wamissionary.