Kitufe cha LIKE kiko wapi?Unaweza ukapigana na wala huwezi kua kama bakharesa
Unakesha usiku kisha hakuna kinachoeleweka
Unabaki ohhhh hawa wanawake wananitesa
Nafikri nimelogwa na PALESA, AISHA au MANETA
Ukisha kuja stuka huna pesa, mabega yamepanda juu kama mkonga wa trekta
Unabaki unalalamika mtaani wananicheka, rafiki zangu maisha yao wanaendelea kupeta
Rudi ndani ya box ili upate kueleweka
Nakutakia maisha mema ili uzidi kuneemeka
Kitufe cha LIKE kiko wapi?
Karibu Mae.
nyura mbonyi!
Unaweza ukapigana na wala huwezi kua kama bakharesa
Unakesha usiku kisha hakuna kinachoeleweka
Unabaki ohhhh hawa wanawake wananitesa
Nafikri nimelogwa na PALESA, AISHA au MANETA
Ukisha kuja stuka huna pesa, mabega yamepanda juu kama mkonga wa trekta
Unabaki unalalamika mtaani wananicheka, rafiki zangu maisha yao wanaendelea kupeta
Rudi ndani ya box ili upate kueleweka
Nakutakia maisha mema ili uzidi kuneemeka
Naubiri, nitafurahi sanantakupeleka TAMADUNI MUSIC
Nasubiri, nitafurahi sanantakupeleka TAMADUNI MUSIC
Mie napenda tu alichofungasha yule mdada wallah nimeuona leo nikafikiria what if i were a man!!
Aika mbe.
Mkuu tafuta demu mwenye tamaa akupe spead ya kutafuta.