Njama za kumuua Obama

Njama za kumuua Obama

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Aliingia madarakani kwa kuchaguliwa na wazungu wengi, Marekani ina idadi ya wananchi mil 500 na weusi wakiwa mil 80, kwa hiyo wapiga kura wengi ni wazungu, hata hivyo kuna kundi dogo la wazungu wabaguzi ambao roho inawauma sana kumuona Obama akiwa Rais.

Kuruka ukuta wa Ikulu ya White house hivi karibuni kwa mtu asiyefahamika hadi kuingia ndani ya eneo la Ikulu hiyo ni dalili kuwa katika serikali ya Obama kuna watu wapo katika system ambao wamepanga njama za kumuua Rais huyu mwenye mvuto mkubwa duniani, kama walivyomua J.F Kennedy mwaka 1963, kwa wasiojua, Obama ni rais pekee wa US mwenye ulinzi mkali kuliko watangulizi wake wote.

Hiyo imetokana na asili yake, Ikulu ya white house iliyoko mtaa wa Penslyvania Washington inaaminika kuwa moja ya Ikulu zenye ulinzi wa hali ya juu duniani, ndo maana isingewezekana intruder kuruka ukuta bila ya kuwezeshwa.

Hiyo ni dalili tosha kuwa kuna njama za kumuua Obama zikifanywa na walinzi wake anaowaamini, kuresign kwa Julia mkuu wa usalama wa rais ni danganya toto,anajua siri nzito huyo.
 
marekani ina watu milion 300! na weusi ni 12% tu.
 
Yule jamaa alidhamiria na kumbuka ni mwanajeshi aliepigana vita vya Iraq na kuruka kwake ukuta na kuingia hadi kukamatwa kwake akiwa na kisu tayari kufanya mauaji tunaweza kusema kuwa ni Mungu pekee ndiye anamlinda huyo baba sasha.
 
Yule jamaa alidhamiria na kumbuka ni mwanajeshi aliepigana vita vya Iraq na kuruka kwake ukuta na kuingia hadi kukamatwa kwake akiwa na kisu tayari kufanya mauaji tunaweza kusema kuwa ni Mungu pekee ndiye anamlinda huyo baba sasha.

Mkuu Lile Tukio Limetengenezwa Kwa Makusudi Ili Kumuharibia Yule Mama Wa Secret Service Mpaka Akaamua Kujiuzulu.
 
White_House_Intruder_-021d4.jpg
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! Mpwa naona siku yako ilikuwa ndefu leo, pole sana mpwa.

Mpwa hujalala hadi saa hizi? Nilikua najisemea tu naona nina uchovu sana
 
Back
Top Bottom